Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,130
- 174,021
Nimepata ugeni wa wadau wangu toka bush, sasa kuna jambo wamelikomalia sana nalo ni kutaka niwapeleke beach yani.
Mimi sio mpenzi wa kuzurura maeneo kama hayo so sina uzoefu. Hebu naombeni wanaozijua beach nzuri mniambie ni zipi na location zake.
NB: Zisiwe beach chafu pls, nitajieni sehemu ambazo zina usalama wa raia na mali zao!
Mimi sio mpenzi wa kuzurura maeneo kama hayo so sina uzoefu. Hebu naombeni wanaozijua beach nzuri mniambie ni zipi na location zake.
NB: Zisiwe beach chafu pls, nitajieni sehemu ambazo zina usalama wa raia na mali zao!