karibu sana usisahau kusoma rules za forumHellow, nawaomba mnipokee Jamvini, mie pia ni mwanaharakati mwenzenu. Naahidi ushirikiano. Aksanteni. 'Uzalendo kwanza'
mkuu umesahau kumwambia apitie jf declaimer..Karibu sana, pita mpaka ndani lakini kama umekuja na umbea uache hapo nje.