[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiangalia Kwa makini waliotoa majibu mazuri Kwa jamaa ni wachache Sana lkn walio wengi wanatukana.. Mi siwaelewi walio wengi humu maana Mtu akipost Jambo la maana anapewa matusi kibao na akipost ujinga utakuta sapot kibao.. Badilikeni bana.. Kusoma Sana cyo kigezo cha kujua vyote jaman kuna vingine utahitaji msaada.
Afadhali umesema mi nashangaa mitusi anayopewa jamaa kisa ana masters,alafu ukiangalia hamna alikuja na jibu linaloeleweka.Ukiangalia Kwa makini waliotoa majibu mazuri Kwa jamaa ni wachache Sana lkn walio wengi wanatukana.. Mi siwaelewi walio wengi humu maana Mtu akipost Jambo la maana anapewa matusi kibao na akipost ujinga utakuta sapot kibao.. Badilikeni bana.. Kusoma Sana cyo kigezo cha kujua vyote jaman kuna vingine utahitaji msaada.
!
!
Elimu yako tafadhali ili nitoe ushauri stahiki. Vyeti saba? vya ubatizo na kipaimara usingeviscan umepoteza hela bure. Na hicho cha graduation ya dini sio cha muhimu.
Wakuu naomba msaada namna ya Kusign CV Online nimeambiwa nitume signed CV.
we jamaa unampoteza ameambiwa atume Scanned CV maana yake aliprint then atie Shii na kisha aiscan na aitume.Afadhali umesema mi nashangaa mitusi anayopewa jamaa kisa ana masters,alafu ukiangalia hamna alikuja na jibu linaloeleweka.
Jamaa anatakiwa awe na 'electroni signature' ambayo mara nyingi unaifanya na Adobe program na kuisave kama PDF file.options zote ataziona akienda kwenye hiyo file na akatafuta pa kuwekea electronic file.
Nategemea ataona hizi information na akaenda kujaribu,ni kitu cha dakika 5.
[emoji3][emoji3][emoji3]Mimi sikujiungaa humu tarehe 30.06.2016
😀😀 atakayesoma hii comment bila kucheka au kutabasamu sijui tu!
[emoji23] 3[emoji23] [emoji23] 16[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbav zng!
!
Basi nikushauri umrudishie mwenyewe vyeti vyake havitakusaidia huko uendako. Kama ni vya urithi vitengenezee fremu uvipambe sebuleni. Kifupi bandiko lako halifanani na hivyo vyeti.
Si kweli.we jamaa unampoteza ameambiwa atume Scanned CV maana yake aliprint then atie Shii na kisha aiscan na aitume.