trigeminal
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,963
- 2,384
Ila kiukweli sikutegemea mtu mwenye masters aulize swali kama hilo, masters ya kwa ras simba nn?
We jamaa mhurumie huyu msomi mwenzio, elimu za mwendokasi hizi. Daaah nimecheka kwa sauti mno [emoji1] [emoji1] [emoji1] eti vyeti vya ubatizo na kipaimara mamamaaaee binadamu hamfai [emoji114] [emoji114]!
!
Elimu yako tafadhali ili nitoe ushauri stahiki. Vyeti saba? vya ubatizo na kipaimara usingeviscan umepoteza hela bure. Na hicho cha graduation ya dini sio cha muhimu.
We jamaa mhurumie huyu msomi mwenzio, elimu za mwendokasi hizi. Daaah nimecheka kwa sauti mno [emoji1] [emoji1] [emoji1] eti vyeti vya ubatizo na kipaimara mamamaaaee binadamu hamfai [emoji114] [emoji114]
Kwa matendo ya Lipumba anayoyafanya, siwezi kushangaa huyo kifafa kuwa masters
Mbona Lipumba ni Profesa?
Una masters? haya maswali wanauliza watoto wa form six
Pili unatakiwa kujua ni namna gani ya kuandika cv's ambayo utaweka na signature yako, webgi watakulaumu kwa kuwa unaonekana kama kilazaaa hivi
Tanzania yenye viwanda [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji115]1.Masters
2.Masters Transcript
3.Degree
4.Degree transcript
5.Advanced level
6Form Four
7.Computer
Acha kupanic ndo unasaidiwa hivyo, kwa hizo mastazi za kurithi bora angezikwa nazo tu marehemu. Kifupi ni kwamba zipo kwenye vyeti tu na sio kwa bichwa, labda kama hiyo kazi umeahidiwa mradi vyeti tu.
Usile Mbegu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ohooooo.....
Hapa ndio umeharibu kabisaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata mimi nimeona bhana!
!
Basi nikushauri umrudishie mwenyewe vyeti vyake havitakusaidia huko uendako. Kama ni vya urithi vitengenezee fremu uvipambe sebuleni. Kifupi bandiko lako halifanani na hivyo vyeti.
Pia ana cheti cha Computer, sijui alikipataje.Huyu amezidi
Assignments alikuwa hafanyi nn ?
Mm std 7 naweza sign kupitia tu kasimu kangu barua n documents zangu za std iv
Eti mwenye master anashindwa teh teh
Hakuna haya ya kwenda shule
Hawa ndio wanaoenda kuchukua n sio kusoma
Si makaratasi tu!Pia ana cheti cha Computer, sijui alikipataje.
1.Masters
2.Masters Transcript
3.Degree
4.Degree transcript
5.Advanced level
6Form Four
7.Computer
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ohooooo.....
Hapa ndio umeharibu kabisaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!
!
pia ana cheti cha computer... huyu mtu mzima kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!
!
sio ataonekana...ndivyo alivyo