Mama_Aheshimiwe
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,747
- 4,162
Kuna rangi za nguo unafulia au ukitaka urahisi fulia dai/dye/die ila usiwe unazifua mara kwa mara
Weka pichaKaribu Kwa ushauri bado nazipenda na zimewahi kupauka kabla ya muda shubaaaamitt!!!
Kilazer ni yule ambaye miaka zaidi ya 27 unakula ugali wa shikamoo, kila kitu unataka utafuniwe ww kula tu mpaka maswali ya kipuuzi unakuja kutu uliza humu.shughulisha akili yako....acha ujingaNyie wote ni vilazer
Hii jamii forum ya siku hizi kazi ipo. !!!
Zifue kwa LAMIKaribu Kwa ushauri bado nazipenda na zimewahi kupauka kabla ya muda shubaaaamitt!!!
Tafuta oil chafu uzilowekeKaribu Kwa ushauri bado nazipenda na zimewahi kupauka kabla ya muda shubaaaamitt!!!
zichemshe
piga kiwi