Wadau nguo zangu nyeusi suruali na shati zimepauka nitafanya nini zirudi kuwa mpya tena

Pale SUA Morogoro department ya mambo ya textile wanafanya hio kitu nakumbuka kulikua na jamaa angu pale anasoma Family consumer alinibadilishia jeans yangu rangi pia inawezekana kung'arisha nguo
 
Kumbe tunavyoitwaga watanzania, maskini wanyonge, kumbe kuna ukweli, tazama mtu huyu hana hela za kununua suruali mpya anataka awe anazipaka rangi suruali zake alizonunua wakati wa jakaya
 
Tatizo humu hakuna wauza mitumba maana ungejibiwa vyema kwa rangi nyeusi sijajua ila blue and dark huwa nilikua naona wauzaji pindi wanapeleka mibadani

Kama ulivyosema hawa vilaza wa UDSM hawajui chochote maana hawa wote ni wajalalani
 
Habari za mchana kwenu
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninahitaji dye kwa ajili ya kuweka kwenye nguo nyeusi zilizopoteza rangi ili zirejee katika rangi yake ya mwanzo.

Sifahamu kwa hapa Dar es Salaam wapi ninaweza kupata,
Nimeona zinauzwa amazon, ebay ila mchakato wa kuagiza utanigharimu hela nyingi sana na usumbufu wa hapa na pale kwa kuwa sinunui kwa jumla

Hivyo naomba mwenye kufahamu namna ya kunisaidia ajitokeze

Jioni njema
Umeangaika sana ni rahsi dye zimejaa, tafuta Rangi ya Batiki. Biashara imeisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom