mwankuga
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 334
- 120
Wadau,nina kaka ambaye ana miaka 31 na bado hajatahiriwa kutokana na sababu nyingi ikiwemo mila na desturi za kwetu.
Kwa kuwa tumezoeana sana tumekuwa tukijadili sana suala hili,ili aweze kutahiriwa hasa tukijua kuwa kutahiri kunapunguza kwa asilimia kadhaa kuambukizwa HIV/AIDS.
Yeye yuko tayari kutahiriwa,lakini tatizo anaona aibu kwenda hospitali akiamini atachekwa,na pili anasema anaweza kupata madhara ikiwemo kupungua nguvu za kiume.
Naomba ushauri wenu wadau,ili kaka yangu aweze kusafishwa.
Kwa kuwa tumezoeana sana tumekuwa tukijadili sana suala hili,ili aweze kutahiriwa hasa tukijua kuwa kutahiri kunapunguza kwa asilimia kadhaa kuambukizwa HIV/AIDS.
Yeye yuko tayari kutahiriwa,lakini tatizo anaona aibu kwenda hospitali akiamini atachekwa,na pili anasema anaweza kupata madhara ikiwemo kupungua nguvu za kiume.
Naomba ushauri wenu wadau,ili kaka yangu aweze kusafishwa.