Ni zaidi ya miaka 50 tangu tujitawale wenyewe. nimetafakari sana kuhusu hali ya miundombinu ya shule kongwe za sekondari za serikali ilivyokuwa mbaya kwa sasa. hizi shule tumezirithi toka kwa wakoloni lakini zilikuwa full(madarasa,maabara,maktaba,nyumba za staff kuanzia headmasters/mistress hadi wapishi, viwanja aina nyingi, halls,majiko nk)
Baada ya kuanza kuchakaa miaka ya 90 wakaja DANIDA kuzifanyia ukarabat. mwaka jana ukaja mpango wa kukarabati na ujenzi wa sehemu ya miundombinu ya shule mbili za sekondari ktk kila wilaya chini ya WORLD BANK.
Serikali imehamasisha wananchi kujenga shule nyingi za kata huku yenyewe ikiSAIDIA. Swali langu kuu ni je, serikali haiwezi kujenga shule zake kwa nguvu zake yenyewe? Naomba mtu anayejua shule iliyojengwa kwa mkono wa serikali ikakamilika (full) atutajie. hapo juu nimeshaeleza maana ya shule full. Karibuni tujadili kwa faida yetu.
Baada ya kuanza kuchakaa miaka ya 90 wakaja DANIDA kuzifanyia ukarabat. mwaka jana ukaja mpango wa kukarabati na ujenzi wa sehemu ya miundombinu ya shule mbili za sekondari ktk kila wilaya chini ya WORLD BANK.
Serikali imehamasisha wananchi kujenga shule nyingi za kata huku yenyewe ikiSAIDIA. Swali langu kuu ni je, serikali haiwezi kujenga shule zake kwa nguvu zake yenyewe? Naomba mtu anayejua shule iliyojengwa kwa mkono wa serikali ikakamilika (full) atutajie. hapo juu nimeshaeleza maana ya shule full. Karibuni tujadili kwa faida yetu.