Wadau kwa Milioni 17 naweza kujenga apartment 4?

Nyie wenzetu hizi nyumba mnajengea wapi?
Dar es Salaam, watu wengi wana nyumba. Ukifuatilia vipato vyao ndiyo utajua kuwa nyumba ni rahisi tatizo uwanja. Na wengi ujenzi wao si smart hakuna Square. Lakini mwisho wa siku wanatumia material yale yale. Fundi yule yule akijenga na mchina kazi nzuri. Ukimuacha site yako kazi ovyo.
 
wewe ni mpumbavu. bila shaka ulikimbia hesabu shule hata hivyo Watu ambao hamjawahi kujenga au kusimamia ujenzi mna mawazo finyu sana

pata elimu hii ya uhalisia.
hiyo apartment unayosema hata iwe na chumba kimoja na sebule jiko na cho utahitaji tofali angalau 1600 kwa uchache ambapo kwa apartment nne ni tofali 6400. ukinunua kila tofali kwa sh 1000 gharama ya tofali zote ni 6,400,000. Katika 17Mil umebakiza 10.6mil

Ukisema ujibane sana kila aprtment mpaka finishing utumie nondo 12 tu kila nondo 18,000 mara aprtment nne ni sh 864000 umebakiwa na tsh9,73,600

cement ukitumia 1.5 ton yaani mifuko 30 mpaka finishing kwa kila apartment utatumia mifuko 120 ambayo kwa mfano ununue kwa 13,000 kila mfuko utatumia 1560000 inabaki 8176000. Gharama za ufundi kwa kila apartment hata ukiwapata mafundi wa bei ya chee kuanzia kuchimba msingi mpaka finishing haipungui 1500000 kwa kila apartment yaani 6mil....umebakiza 2,176,000

Vifuatavyo bado hujakamilisha
Plumbing
electrification-vifaa na fundi
ceptic tank
mbao zote za kushikilia zege na za kuezekea
mabati
misumali
mchanga na kokoto
gharama ya usafirishaji wa matofali na vifaa vingine vya ujenzi kama neno,cement, mabati na mbao

.....NB: Hapo una kiwanja tayari
***************************************************

Mkuu wasamehe, wengi humu hawajawahi hata kujenga, hawajui hata gharama za ujenzi na materials zipoje , wengine hata milioni 2 hawajahi kushika kwahiyo wakitajiwa mil 17 wanaona kama ni Bilioni.

Ujenzi ni gharama sana,kuna msanii mmoja wa bongo movie alilala na viatu ,alipata dili nono akakamata fedha ya maana ,akamtafuta fundi akampigia mahesabu kuanzia msingi hadi anahamia akampa full quotation ,msanii kweli alikuwa na mzigo wote fresh ,akamwambia fundi aanze ujenzi ,mwisho wa siku alilala na viatu mzigo umekata wote aliishia kupaua na kuweka grill na plasta tu.

Kwenye ujenzi fundi akikwambia gharama ya kitu flani kujenga basi inabidi uwe na balance nyingine ya ziada kwa vitu vidogo vidogo vitkavyotokea ,mara nyingi mafundi wanaweka gharama ndogo ili uanze maana wanajua ukishayavulia nguo maji lazima uyaoge ,akikutajia gharama kubwa utashindwa kuanza,anakutajia ndogo ili uanze ,kwahiyo kama haujui mahesabu ni bora uwe na balance ya ziada.
 
Mkuu wasamehe , wengi humu hawajawahi hata kujenga ,hawajui hata gharama za ujenzi na materials zipoje , wengine hata milioni 2 hawajahi kushika kwahiyo wakitajiwa mil 17 wanaona kama ni Bilioni.

Ujenzi ni gharama sana,kuna msanii mmoja wa bongo movie alilala na viatu ,alipata dili nono akakamata fedha ya maana ,akamtafuta fundi akampigia mahesabu kuanzia msingi hadi anahamia akampa full quotation ,msanii kweli alikuwa na mzigo wote fresh ,akamwambia fundi aanze ujenzi ,mwisho wa siku alilala na viatu mzigo umekata wote aliishia kupaua na kuweka grill na plasta tu.

Kwenye ujenzi fundi akikwambia gharama ya kitu flani kujenga basi inabidi uwe na balance nyingine ya ziada kwa vitu vidogo vidogo vitkavyotokea ,mara nyingi mafundi wanaweka gharama ndogo ili uanze maana wanajua ukishayavulia nguo maji lazima uyaoge ,akikutajia gharama kubwa utashindwa kuanza,anakutajia ndogo ili uanze ,kwahiyo kama haujui mahesabu ni bora uwe na balance ya ziada.
Ni kweli atusamehe, maana sisi kwetu tukilipa buku block mpaka site. Sasa yeye anakokujua akilipa block usafiri juu yake na anataka kote iwe hivyo.
 
Dar es Salaam, watu wengi wana nyumba. Ukifuatilia vipato vyao ndiyo utajua kuwa nyumba ni rahisi tatizo uwanja. Na wengi ujenzi wao si smart hakuna Square. Lakini mwisho wa siku wanatumia material yale yale. Fundi yule yule akijenga na mchina kazi nzuri. Ukimuacha site yako kazi ovyo.
Sawa
 
Mkuu wasamehe , wengi humu hawajawahi hata kujenga ,hawajui hata gharama za ujenzi na materials zipoje , wengine hata milioni 2 hawajahi kushika kwahiyo wakitajiwa mil 17 wanaona kama ni Bilioni.

Ujenzi ni gharama sana,kuna msanii mmoja wa bongo movie alilala na viatu ,alipata dili nono akakamata fedha ya maana ,akamtafuta fundi akampigia mahesabu kuanzia msingi hadi anahamia akampa full quotation ,msanii kweli alikuwa na mzigo wote fresh ,akamwambia fundi aanze ujenzi ,mwisho wa siku alilala na viatu mzigo umekata wote aliishia kupaua na kuweka grill na plasta tu.

Kwenye ujenzi fundi akikwambia gharama ya kitu flani kujenga basi inabidi uwe na balance nyingine ya ziada kwa vitu vidogo vidogo vitkavyotokea ,mara nyingi mafundi wanaweka gharama ndogo ili uanze maana wanajua ukishayavulia nguo maji lazima uyaoge ,akikutajia gharama kubwa utashindwa kuanza,anakutajia ndogo ili uanze ,kwahiyo kama haujui mahesabu ni bora uwe na balance ya ziada.
Ujenzi siyo maneno tu, ni mahesabu. Ndiyo maana watu wengi ambao hawajajenga huwa na vimaneno vya dharau.
Nyumba zipo za aina nyingi sana siyo lazima uige. Siyo lazima iwe na tiles, gypsum, aluminum windows, grills ....
Siyo lazima na nyumba inakuwa nzuri tu.
 
Ujenzi siyo maneno tu, ni mahesabu. Ndiyo maana watu wengi ambao hawajajenga huwa na vimaneno vya dharau.
Nyumba zipo za aina nyingi sana siyo lazima uige. Siyo lazima iwe na tiles, gypsum, aluminum windows, grills ....
Siyo lazima na nyumba inakuwa nzuri tu.

Ni kweli mkuu.
 
wewe ni mpumbavu. bila shaka ulikimbia hesabu shule hata hivyo Watu ambao hamjawahi kujenga au kusimamia ujenzi mna mawazo finyu sana

pata elimu hii ya uhalisia.
hiyo apartment unayosema hata iwe na chumba kimoja na sebule jiko na cho utahitaji tofali angalau 1600 kwa uchache ambapo kwa apartment nne ni tofali 6400. ukinunua kila tofali kwa sh 1000 gharama ya tofali zote ni 6,400,000. Katika 17Mil umebakiza 10.6mil

Ukisema ujibane sana kila aprtment mpaka finishing utumie nondo 12 tu kila nondo 18,000 mara aprtment nne ni sh 864000 umebakiwa na tsh9,73,600

cement ukitumia 1.5 ton yaani mifuko 30 mpaka finishing kwa kila apartment utatumia mifuko 120 ambayo kwa mfano ununue kwa 13,000 kila mfuko utatumia 1560000 inabaki 8176000. Gharama za ufundi kwa kila apartment hata ukiwapata mafundi wa bei ya chee kuanzia kuchimba msingi mpaka finishing haipungui 1500000 kwa kila apartment yaani 6mil....umebakiza 2,176,000

vifuatavyo bado hujakamili
Plumbing
electrification-vifaa na fundi
ceptic tank
mbao zote za kushikilia zege na za kuezekea
mabati
misumali
mchanga na kokoto
gharama ya usafirishaji wa matofali na vifaa vingine vya ujenzi kama neno,cement, mabati na mbao

.....NB: Hapo una kiwanja tayari
***************************************************
Nyie mafundi wezi sana. Yaani chumba, sebule na jiko unataka at least block 1600?
 
Nyie mafundi wezi sana. Yaani chumba, sebule na jiko unataka at least block 1600?
Kama kuna fundi amekwambia unaweza ukatumia matofali mia mbili amekudanganya. Labda kama unataka kujenga bafu la uchochoroni. Siku ukianza ujenzi, utaujua ukweli na utarudi humu kutafuta huu uzi unishukuru.

Na kama kuna fundi amekwambia 17mil inatosha apartment nne na umemuamini nakupa pole, huwajui mafundi ujenzi walivyo. Ukimtangazia kazi hata ukimwambia una 10mil unataka kujenga ghorofa atakwambia tuanze inawezekana maana yeye anajua atalipwa kutokana na kazi anayoifanya.....msala wa kumaliza au kutomaliza ujenzi ni juu yako.

Wengi mnaodhani 17mil inatosha si ajabu hamjui hata bei ya roofing materials zote, bei ya cement, kokoto, rangi na materials zingine zote zinazohitajika wakati wa finishing na ujenzi mzima pamoja na logistics zake.

Endeleeni kudanganyana, maana millenials mkishavuta bangi mnaona 17mil ni 17bil
 
Endelea kuota baada ya kuvuta bangi. Unadhani 17Mil ni 17Bil


studio.jpg

Ukiwa tayari nakupa mahesabu....
 
Aisee nimeshangaa labda hajui block 1600 ni zipi.
Nimewahi simamia ujenzi hata sasa nafuatilia block kwa ajili ya fensi.
Hazifiki tofali 1600 kwa chemba,sebule na jiko

Mkuu inategemea na size ya chumba, sebule, jiko na choo ila kwa standard ya ujenzi yaani chumba kiwe na atleast 4m kwa 4m, sebule 4m kwa 5m,jiko 3m kwa 4m na choo 3m kwa 5m,corridor 2.5m, msingi uinuke juu na baada ya linta unapiga kozi 3, hizo tofali 1600 zinaweza kupelea na zisitoshe.....

Kama ujenzi wa ramani kidole chumba vya futi 8 au 10 na vyoo vya kuingia upande upande na korido watu wawili hamuwezi kupishana unaweza ukatumia tofali unazosema wewe.
 
Back
Top Bottom