Wadau naomben ushaur kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko?
Msaada tafadhali
Dar es Salaam, watu wengi wana nyumba. Ukifuatilia vipato vyao ndiyo utajua kuwa nyumba ni rahisi tatizo uwanja. Na wengi ujenzi wao si smart hakuna Square. Lakini mwisho wa siku wanatumia material yale yale. Fundi yule yule akijenga na mchina kazi nzuri. Ukimuacha site yako kazi ovyo.Nyie wenzetu hizi nyumba mnajengea wapi?
wewe ni mpumbavu. bila shaka ulikimbia hesabu shule hata hivyo Watu ambao hamjawahi kujenga au kusimamia ujenzi mna mawazo finyu sana
pata elimu hii ya uhalisia.
hiyo apartment unayosema hata iwe na chumba kimoja na sebule jiko na cho utahitaji tofali angalau 1600 kwa uchache ambapo kwa apartment nne ni tofali 6400. ukinunua kila tofali kwa sh 1000 gharama ya tofali zote ni 6,400,000. Katika 17Mil umebakiza 10.6mil
Ukisema ujibane sana kila aprtment mpaka finishing utumie nondo 12 tu kila nondo 18,000 mara aprtment nne ni sh 864000 umebakiwa na tsh9,73,600
cement ukitumia 1.5 ton yaani mifuko 30 mpaka finishing kwa kila apartment utatumia mifuko 120 ambayo kwa mfano ununue kwa 13,000 kila mfuko utatumia 1560000 inabaki 8176000. Gharama za ufundi kwa kila apartment hata ukiwapata mafundi wa bei ya chee kuanzia kuchimba msingi mpaka finishing haipungui 1500000 kwa kila apartment yaani 6mil....umebakiza 2,176,000
Vifuatavyo bado hujakamilisha
Plumbing
electrification-vifaa na fundi
ceptic tank
mbao zote za kushikilia zege na za kuezekea
mabati
misumali
mchanga na kokoto
gharama ya usafirishaji wa matofali na vifaa vingine vya ujenzi kama neno,cement, mabati na mbao
.....NB: Hapo una kiwanja tayari
***************************************************
Ni kweli atusamehe, maana sisi kwetu tukilipa buku block mpaka site. Sasa yeye anakokujua akilipa block usafiri juu yake na anataka kote iwe hivyo.Mkuu wasamehe , wengi humu hawajawahi hata kujenga ,hawajui hata gharama za ujenzi na materials zipoje , wengine hata milioni 2 hawajahi kushika kwahiyo wakitajiwa mil 17 wanaona kama ni Bilioni.
Ujenzi ni gharama sana,kuna msanii mmoja wa bongo movie alilala na viatu ,alipata dili nono akakamata fedha ya maana ,akamtafuta fundi akampigia mahesabu kuanzia msingi hadi anahamia akampa full quotation ,msanii kweli alikuwa na mzigo wote fresh ,akamwambia fundi aanze ujenzi ,mwisho wa siku alilala na viatu mzigo umekata wote aliishia kupaua na kuweka grill na plasta tu.
Kwenye ujenzi fundi akikwambia gharama ya kitu flani kujenga basi inabidi uwe na balance nyingine ya ziada kwa vitu vidogo vidogo vitkavyotokea ,mara nyingi mafundi wanaweka gharama ndogo ili uanze maana wanajua ukishayavulia nguo maji lazima uyaoge ,akikutajia gharama kubwa utashindwa kuanza,anakutajia ndogo ili uanze ,kwahiyo kama haujui mahesabu ni bora uwe na balance ya ziada.
SawaDar es Salaam, watu wengi wana nyumba. Ukifuatilia vipato vyao ndiyo utajua kuwa nyumba ni rahisi tatizo uwanja. Na wengi ujenzi wao si smart hakuna Square. Lakini mwisho wa siku wanatumia material yale yale. Fundi yule yule akijenga na mchina kazi nzuri. Ukimuacha site yako kazi ovyo.
Ujenzi siyo maneno tu, ni mahesabu. Ndiyo maana watu wengi ambao hawajajenga huwa na vimaneno vya dharau.Mkuu wasamehe , wengi humu hawajawahi hata kujenga ,hawajui hata gharama za ujenzi na materials zipoje , wengine hata milioni 2 hawajahi kushika kwahiyo wakitajiwa mil 17 wanaona kama ni Bilioni.
Ujenzi ni gharama sana,kuna msanii mmoja wa bongo movie alilala na viatu ,alipata dili nono akakamata fedha ya maana ,akamtafuta fundi akampigia mahesabu kuanzia msingi hadi anahamia akampa full quotation ,msanii kweli alikuwa na mzigo wote fresh ,akamwambia fundi aanze ujenzi ,mwisho wa siku alilala na viatu mzigo umekata wote aliishia kupaua na kuweka grill na plasta tu.
Kwenye ujenzi fundi akikwambia gharama ya kitu flani kujenga basi inabidi uwe na balance nyingine ya ziada kwa vitu vidogo vidogo vitkavyotokea ,mara nyingi mafundi wanaweka gharama ndogo ili uanze maana wanajua ukishayavulia nguo maji lazima uyaoge ,akikutajia gharama kubwa utashindwa kuanza,anakutajia ndogo ili uanze ,kwahiyo kama haujui mahesabu ni bora uwe na balance ya ziada.
Ujenzi siyo maneno tu, ni mahesabu. Ndiyo maana watu wengi ambao hawajajenga huwa na vimaneno vya dharau.
Nyumba zipo za aina nyingi sana siyo lazima uige. Siyo lazima iwe na tiles, gypsum, aluminum windows, grills ....
Siyo lazima na nyumba inakuwa nzuri tu.
Nyie mafundi wezi sana. Yaani chumba, sebule na jiko unataka at least block 1600?wewe ni mpumbavu. bila shaka ulikimbia hesabu shule hata hivyo Watu ambao hamjawahi kujenga au kusimamia ujenzi mna mawazo finyu sana
pata elimu hii ya uhalisia.
hiyo apartment unayosema hata iwe na chumba kimoja na sebule jiko na cho utahitaji tofali angalau 1600 kwa uchache ambapo kwa apartment nne ni tofali 6400. ukinunua kila tofali kwa sh 1000 gharama ya tofali zote ni 6,400,000. Katika 17Mil umebakiza 10.6mil
Ukisema ujibane sana kila aprtment mpaka finishing utumie nondo 12 tu kila nondo 18,000 mara aprtment nne ni sh 864000 umebakiwa na tsh9,73,600
cement ukitumia 1.5 ton yaani mifuko 30 mpaka finishing kwa kila apartment utatumia mifuko 120 ambayo kwa mfano ununue kwa 13,000 kila mfuko utatumia 1560000 inabaki 8176000. Gharama za ufundi kwa kila apartment hata ukiwapata mafundi wa bei ya chee kuanzia kuchimba msingi mpaka finishing haipungui 1500000 kwa kila apartment yaani 6mil....umebakiza 2,176,000
vifuatavyo bado hujakamili
Plumbing
electrification-vifaa na fundi
ceptic tank
mbao zote za kushikilia zege na za kuezekea
mabati
misumali
mchanga na kokoto
gharama ya usafirishaji wa matofali na vifaa vingine vya ujenzi kama neno,cement, mabati na mbao
.....NB: Hapo una kiwanja tayari
***************************************************
Kama kuna fundi amekwambia unaweza ukatumia matofali mia mbili amekudanganya. Labda kama unataka kujenga bafu la uchochoroni. Siku ukianza ujenzi, utaujua ukweli na utarudi humu kutafuta huu uzi unishukuru.Nyie mafundi wezi sana. Yaani chumba, sebule na jiko unataka at least block 1600?
Aisee nimeshangaa labda hajui block 1600 ni zipi.Nyie mafundi wezi sana. Yaani chumba, sebule na jiko unataka at least block 1600?
Yaani una mawazo ya kijinga kama mtoto wa chekechea
Endelea kuota baada ya kuvuta bangi. Unadhani 17Mil ni 17Bil
Aisee nimeshangaa labda hajui block 1600 ni zipi.
Nimewahi simamia ujenzi hata sasa nafuatilia block kwa ajili ya fensi.
Hazifiki tofali 1600 kwa chemba,sebule na jiko
Witness ni vijiapartment vidogo vya vichumba, kijiko na vichoo....17m?
Watu mnachukulia simple ujenzi eeh, labda Banda kama haya ya uswahilini hayana hata msingi
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Witness ni vijiapartment vidogo vya vichumba, kijiko na vichoo....17m?
Watu mnachukulia simple ujenzi eeh, labda Banda kama haya ya uswahilini hayana hata msingi
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hili ni swali najiuliza nami sipati jibu..nabaki kujiona mi ni mjinga wa mwisho..ina maana huyu jamaa kama 17m anaweza fanya maajabu ya 4 apts basi akiwa na 50m anaweza jenga mansion sio la nchi hii.Nyie wenzetu hizi nyumba mnajengea wapi?
Wewe ni mdesaji wa michoro tu. Jaribu kujenga hizi nne kwa milioni 17 hata kama una kiwanja. Ndipo utapevuka akili na utaelewa yale wazoefu wa ujenzi tunakwambia.View attachment 1795852
Ukiwa tayari nakupa mahesabu....
Hiyo ni moja tuu tena kwa low materialWadau naomben ushaur kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko?
Msaada tafadhali