Wadau kwa Milioni 17 naweza kujenga apartment 4?

Mita 4.5 kwa mita 4.5
Na ndani ni jumla ya mita 6 .
Jumla ni mita 24.

Ukiziunganisha unapata 82.5m
Kuipata idadi ya tofali kwa kozi Moja
82.5m ÷ 0.45m = 184

Utasimamisha bima kwa kozi 19.
184 x 19 = 3496 blocks.

Madirisha 8 yanaondoa matofali
12x8= 96.
Madirisha madogo ya chooni yanaondoa matofali 3x4 = 12

Milango 4 inaondoa matofali 20x4
= 80.
Jumla ni

3496 - (96+12+80) = 3308.

Kusave mabati nitafanya muundo wa Gable roof kwahiyo nitaongeza matofali ili yawe 3500 kwa boma lote na mifuko 60 ya saruji.
Jumla milioni 4.5.

Hii hesabu yako bado haijatoa jibu bado cha kufanya hapo weka hesabu complete za apartment moja alafu tutazidisha mara nne tuone inakuja ngapi.

Kwa hizi hesabu zako naona kuna vitu umesahau ;

~Ukisema 82.4 / 0.45= blocks184 ukumbuke kuna vertical joints kwa hiyo tofali zitapungua kidogo.

~Hizo kozi 19 ni nyingi sana.
Sakafuni hadi kitako cha dirisha =coz 4
Kitako cha dirisha hadi top ya dirisha = coz6
Baada ya lenta hadi kwenye paa =coz 3
Msingi kama ni tofali =coz 4 (maximu)

Jumla ni coz 17 (hizo coz 2 umeongeza za nini?)

~Kwanini Milango umehesabu milango 4 kwa apartment zote 4 wakati ndani kuna openings zingine zitakazopunguza nafasi ya tofali?
-Opening/mlango wa jikoni= blocks.....
-Opening/mlango wa chooi =blocks....


~kwa case ya madirisha ungefanya at least matatu badala ya mawili kwa kila apartment(chumbani,sebuleni na jikoni)

Sasa endelea ku Quantify nyumba moja alafu tuone garama yake
 
Hii hesabu yako bado haijatoa jibu bado cha kufanya hapo weka hesabu complete za apartment moja alafu tutazidisha mara nne tuone inakuja ngapi.

Kwa hizi hesabu zako naona kuna vitu umesahau ;

~Ukisema 82.4 / 0.45= blocks184 ukumbuke kuna vertical joints kwa hiyo tofali zitapungua kidogo.

~Hizo kozi 19 ni nyingi sana.
Sakafuni hadi kitako cha dirisha =coz 4
Kitako cha dirisha hadi top ya dirisha = coz6
Baada ya lenta hadi kwenye paa =coz 3
Msingi kama ni tofali =coz 4 (maximu)

Jumla ni coz 17 (hizo coz 2 umeongeza za nini?)

~Kwanini Milango umehesabu milango 4 kwa apartment zote 4 wakati ndani kuna openings zingine zitakazopunguza nafasi ya tofali?
-Opening/mlango wa jikoni= blocks.....
-Opening/mlango wa chooi =blocks....


~kwa case ya madirisha ungefanya at least matatu badala ya mawili kwa kila apartment(chumbani,sebuleni na jikoni)

Sasa endelea ku Quantify nyumba moja alafu tuone garama yake
Nyumba 1 mara 4 Kuna Kuta 16 na nyumba 4 in 1 Kuna Kuta 13.
Pia hiyo nime estimate kama umelaza kozi nne (4) na kusimamisha mbili (2) kwenye msingi. Urefu wa msingi ni uleule.
Kuhusu joints nimeneglect just to give an allowance.

Milango, actually ndani ni 7.2 m na nimefanya 6. Jikoni hakuna milango Bali Kuna partition isiyo complete.
Hiyo post nilikuwa namjibu mchangiaji niliye m-quote.
 
Mita 4.5 kwa mita 4.5
Na ndani ni jumla ya mita 6 .
Jumla ni mita 24.

Ukiziunganisha unapata 82.5m
Kuipata idadi ya tofali kwa kozi Moja
82.5m ÷ 0.45m = 184

Utasimamisha bima kwa kozi 19.
184 x 19 = 3496 blocks.

Madirisha 8 yanaondoa matofali
12x8= 96.
Madirisha madogo ya chooni yanaondoa matofali 3x4 = 12

Milango 4 inaondoa matofali 20x4
= 80.
Jumla ni

3496 - (96+12+80) = 3308.

Kusave mabati nitafanya muundo wa Gable roof kwahiyo nitaongeza matofali ili yawe 3500 kwa boma lote na mifuko 60 ya saruji.
Jumla milioni 4.5.
A. Hivi mnazungumza eneo au mzingo? Ukweli tunapaswa kuangalia mzingo ili kujua idadi ya blocks, mzingo una (elevations) kuta za ndani na za nje zinazo zunguka nyumba. Ambazo una marefu na mapana.
B. Marefu ni 10m*2m= 20m
Marefu kwa vyumba yenye chumba, sebule na jiko 3.5.m+4.5m+2m respectively.
C. Mapana ni 3.5m+3.5m+2m+1.5m=10.5m
Mapana yana kuta kulia, kushoto, kati na mkato wa bafu na jiko respectively.
D. Sasa mzingo wake ni 20m+10.5m=30.5m.
Hesabu yake ipo hivi
30.5m÷0.45=68
E. Pia urefu wa kuta una wastani wa kutumia block 19 kama ulivyo onyesha msingi 5 kuta 11 baada ya lintel 3
68*19=1292
F. Hapo hakuna dirisha wala Milango ambayo umeweka 200 blocks, na open kitchen.
1200-300=1000
G. Note
Chumba 3.5m/3.5m
Sebule 4.5m/3.5m
Jiko 2m/2m
Bafu 1.5m/2m
Anayekataa, akatae kwa data hizo.A B,.....G
 
A. Hivi mnazungumza eneo au mzingo? Ukweli tunapaswa kuangalia mzingo ili kujua idadi ya blocks, mzingo una (elevations) kuta za ndani na za nje zinazo zunguka nyumba. Ambazo una marefu na mapana.
B. Marefu ni 10m*2m= 20m
Marefu kwa vyumba yenye chumba, sebule na jiko 3.5.m+4.5m+2m respectively.
C. Mapana ni 3.5m+3.5m+2m+1.5m=10.5m
Mapana yana kuta kulia, kushoto, kati na mkato wa bafu na jiko respectively.
D. Sasa mzingo wake ni 20m+10.5m=30.5m.
Hesabu yake ipo hivi
30.5m÷0.45=68
E. Pia urefu wa kuta una wastani wa kutumia block 19 kama ulivyo onyesha msingi 5 kuta 11 baada ya rinta 3
68*19=1292
F. Hapo hakuna dirisha wala Milango ambayo umeweka 200 blocks, na open kitchen.
1200-300=1000
G. Note
Chumba 3.5m/3.5m
Sebule 4.5m/3.5m
Jiko 2m/2m
Bafu 1.5m/2m
Anayekataa, akatae kwa data hizo.A B,.....G
Ramani yangu ina 4.5m x4.5m na partitions za ndani jumla 6m.
Nitaunganisha apartments nne kwa mfumo wa madarasa ya shule (Gable roof).
Hapo nitasave Kuta 3 with a total surface area of 81m. Yaani 4.5m x 3m (height) x 3 walls = 40.5m x 2sides = 81m .
Hiyo surface area saved by joining itapunguza gharama za plastering, skimming/painting by almost 20%.
 
Hii hesabu yako bado haijatoa jibu bado cha kufanya hapo weka hesabu complete za apartment moja alafu tutazidisha mara nne tuone inakuja ngapi.

Kwa hizi hesabu zako naona kuna vitu umesahau ;

~Ukisema 82.4 / 0.45= blocks184 ukumbuke kuna vertical joints kwa hiyo tofali zitapungua kidogo.

~Hizo kozi 19 ni nyingi sana.
Sakafuni hadi kitako cha dirisha =coz 4
Kitako cha dirisha hadi top ya dirisha = coz6
Baada ya lenta hadi kwenye paa =coz 3
Msingi kama ni tofali =coz 4 (maximu)

Jumla ni coz 17 (hizo coz 2 umeongeza za nini?)

~Kwanini Milango umehesabu milango 4 kwa apartment zote 4 wakati ndani kuna openings zingine zitakazopunguza nafasi ya tofali?
-Opening/mlango wa jikoni= blocks.....
-Opening/mlango wa chooi =blocks....


~kwa case ya madirisha ungefanya at least matatu badala ya mawili kwa kila apartment(chumbani,sebuleni na jikoni)

Sasa endelea ku Quantify nyumba moja alafu tuone garama yake
Naungana na wewe, tatizo siyo 19, tatizo ni 82. Kupata mzunguko wa kuta wa mita 82 kwenye nyumba yenye chumba, sebule na jiko ni maajabu. Kwa maana chumba chenye 4m/4m kina 16m vikiwa viwili ni 32m. Kumbuka kuna ukuta vina share.
Tatizo ni exaggerations. Choo na bafu ni mikato midogo sana. Hata hizo 19 za kwenda juu unakubaliana naye, pamoja na kuwa ni 17 bado hazita fika huko anakosema.
 
Naungana na wewe, tatizo siyo 19, tatizo ni 82. Kupata mzunguko wa kuta wa mita 82 kwenye nyumba yenye chumba, sebule na jiko ni maajabu. Kwa maana chumba chenye 4m/4m kina 16m vikiwa viwili ni 32m. Kumbuka kuna ukuta vina share.
Tatizo ni exaggerations. Choo na bafu ni mikato midogo sana. Hata hizo 19 za kwenda juu unakubaliana naye, pamoja na kuwa ni 17 bado hazita fika huko anakosema.
Yangu ni mahesabu ya apartments zote 4 zikiunganishwa.
4.5m by 4.5 m na partitions za ndani ni 6m total.
 
Naungana na wewe, tatizo siyo 19, tatizo ni 82. Kupata mzunguko wa kuta wa mita 82 kwenye nyumba yenye chumba, sebule na jiko ni maajabu. Kwa maana chumba chenye 4m/4m kina 16m vikiwa viwili ni 32m. Kumbuka kuna ukuta vina share.
Tatizo ni exaggerations. Choo na bafu ni mikato midogo sana. Hata hizo 19 za kwenda juu unakubaliana naye, pamoja na kuwa ni 17 bado hazita fika huko anakosema.
Kwa contemporary design baada ya lenter zinakwenda kozi zaidi ya tano ili kupata slope
 
Ramani yangu ina 4.5m x4.5m na partitions za ndani jumla 6m.
Nitaunganisha apartments nne kwa mfumo wa madarasa ya shule (Gable roof).
Hapo nitasave Kuta 3 with a total surface area of 81m. Yaani 4.5m x 3m (height) x 3 walls = 40.5m x 2sides = 81m .
Hiyo surface area saved by joining itapunguza gharama za plastering, skimming/painting by almost 20%.
Samahani, jibu kwa aliyekuuliza ku quantify. fanya hiyo hesabu katika nyumba moja. Kisha jua kuwa unapozungumzia blocks haupaswi kuzungumzia area kama unatumia kigezo cha blocks ngapi katika 1m. Ambayo ni 0.45 block ktk mita 1. Vinginevyo unajua block moja ina cover surface area kiasi gani baada ya kuijenga.
Unapaswa kuzungumzia marefu ya kuta zote za nyumba. Kwa maana (horizontal length). kisha uzidishe na hizo kozi(vertical length)19 au 17.
Kisha upunguze blocks utakazo okoa ktk milango, madirisha, uwazi mwingine na kuta zinazounganisha/share apartments.
Ukitafuta area itakusaidia katika tiles, roofing, plasta na rangi.
Kwa hesabu zangu wastani ni mzingo ni 30m na area ni 30m square. Kwa chumba, sebule na jiko. Chora mchoro wowote ambao ni economy & efficiency katika kupangisha/rent
 
Samahani, jibu kwa aliyekuuliza ku quantify. fanya hiyo hesabu katika nyumba moja. Kisha jua kuwa unapozungumzia blocks haupaswi kuzungumzia area kama unatumia kigezo cha blocks ngapi katika 1m. Ambayo ni 0.45 block ktk mita 1. Vinginevyo unajua block moja ina cover surface area kiasi gani baada ya kuijenga.
Unapaswa kuzungumzia marefu ya kuta zote za nyumba. Kwa maana (horizontal length). kisha uzidishe na hizo kozi(vertical length)19 au 17.
Kisha upunguze blocks utakazo okoa ktk milango, madirisha, uwazi mwingine na kuta zinazounganisha/share apartments.
Ukitafuta area itakusaidia katika tiles, roofing, plasta na rangi.
Kwa hesabu zangu wastani ni mzingo ni 30m na area ni 30m square. Kwa chumba, sebule na jiko. Chora mchoro wowote ambao ni economy & efficiency katika kupangisha/rent
Ni hivi,
1. Urefu 4.5m
2. Upana 4.5m
3. Interior wall choo 3.6m
4. I nterior wall kitcen 2.4m

Total lenght of the walls = 4.5m +4.5 m + 4.5m +4.5m + 6m = 24m
24m x 4 = 96m.

Ukizipanga hizo apartments nne kwenye mstari mmoja (ukiziunganisha) utapunguza kuta tatu (3).
sawa na kusema utapunguza 4.5m +4.5m + 4.5m = 13.5m

96m - 13.5 m utapata total of 82.5m

Nadhani hapo umenielewa. Sija-calculate area.
 
Ni hivi,
1. Urefu 4.5m
2. Upana 4.5m
3. Interior wall choo 3.6m
4. I nterior wall kitcen 2.4m

Total lenght of the walls = 4.5m +4.5 m + 4.5m +4.5m + 6m = 24m
24m x 4 = 96m.

Ukizipanga hizo apartments nne kwenye mstari mmoja (ukiziunganisha) utapunguza kuta tatu (3).
sawa na kusema utapunguza 4.5m +4.5m + 4.5m = 13.5m

96m - 13.5 m utapata total of 82.5m

Nadhani hapo umenielewa. Sija-calculate area.
Ni sawa kabisa kwa nyumba zote kutumia 3500 blocks. Mimi niliongeza 500 kutoka hesabu yako kuwa maximum 4000 blocks. Kwa maana hiyo kama blocks ni 3500. Basi kuna balance ya mil 13.5 ifanye kazi zingine. Ninaamini itafanya kazi zaidi ya robo tatu ya finishing.
Kwahiyo zote ni 18*4.5= 81sqm
Tiles. 81x1.9= 42 boxes
Gypsum board 81x 2.88 = 28 boards
Cement kuinua 3500 ÷ 80= 44 bags
Dirisha kubwa 3x4=12pcs
Dirisha ndogo 2x4=8pcs
Milango 3x4 =12pcs
Sasa hapo bargaining power yako
mwanzo kuna mtu anajiita Mpumbavu kachangia kuwa apartment 1 block 1600. Kwa zote 4 minimum ni block 6400.
 
Huwezi. Labda za tope na miti!
Empty headed katika ubora, kamuulize Tajiri wa kijijini kwenu akwambie servant quarter yake alijenga kwa sh ngapi? Maana 17m ni pesa ndogo sana kwako. Kwakuwa nyumba hujengwa kwa gold. Wote wanao miliki wana vipato vya mabilioni. Wengi tutaishia kuwa wapangaji ikiwa 4m siwezi pata chumba na sebule. Ila naweza jenga ya tope na miti.
 
Wadau naomben ushauri kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko?

Msaada tafadhali
FAHAMU MAKISIO YA GHARAMA ZA UJENZI WA NYUMBA YAKO (+255-657-685-268)

Fahamu gharama ujenzi wa nyumba yako kwa kila steji kama MSINGI, KUTA, PAA, RANGI, DARI, MAJI, UMEME... ili uweze fanya tathimini ya uwezo wako kama upo chini au juu sanaaa na uanze kuweka mipango mikakati vyema ya kuweza kufanikisha ujenzi wa nyumba yako!
20210529_124307.jpg
 
Duu!
Uzio wangu tu ulikula hiyo 17m na hata rangi sikupaka ndio ijenge nyumba 4!
 
Jibu la haraka haiwezekani.

Fanya hivi;kamilisha kwanza moja hadi ikamilike kwa kuhamia mpangaji..ikibaki pesa anza msingi kwenye hivyo vingine. Ukilipwa kodi anza kuinua kuta kwenye huo msingi mwingine plus pesa utakazokuwa unapata kwenye mapato yako mengine. Baada ya miaka miwili utakuwa umekamilisha.

Ni bora hii kuliko utapanye pesa yote halafu ubaki na kuta tu za apartments nne.

Nimeongea kutokana na uzoefu/ushuhuda wangu mwenyewe.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom