ha ha ha, mkuu anataka kujenga vibanda 4, kila kibanda kwa 4.2m. Naona nondo haweki, choo hakuna, bati jeupe, mbao pori... mlango wa bati.MIL17 NI DOLA AU?
ha ha ha, mkuu anataka kujenga vibanda 4, kila kibanda kwa 4.2m. Naona nondo haweki, choo hakuna, bati jeupe, mbao pori... mlango wa bati.MIL17 NI DOLA AU?
Lete design yake mkuu utakua umetusaidia wengiNne haiwezekani... ila 3 inawezekana kama finishing yake iwe ya kizamani.. no tiles, no alluminiums, no mbwembwez
Mimi nauliza, hizo apartments nne zinatosha kwenye kiwanja chenye ukubwa gani na ibaki parking?Kiwanja kipo tayari
Kwa hiyo mil.17 unakuta ni pesa ndefu Sana au ? 😂😂😂😂..Wadau naomben ushauri kwa 17mil naweza kujenga apartment nne zenye room moja ya kulala na sitting room plus choo na jiko?
Msaada tafadhali
Hawa ndio walikuwa wanashangaa eti camp establishment kutumia mil.7 wakati uko break down bado inakuwa camp ya kichoko..17m?
Watu mnachukulia simple ujenzi eeh, labda Banda kama haya ya uswahilini hayana hata msingi
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Labda ajenge na kuezeka tuu ,hapo atapata vijengo 2 ila kama haezeki atapata vijengo 4Nimejenga chumba pekee yake .. Kiwanja ninacho , au kwenye eneo langu la shamba ..... nimetumia angalau sh. 1,800,000
Bado sijajenga choo. Tayari nimeweka dirisha moja la chuma na mlango wa bati.. Ili angalau mtu akae shamba... Navyoona kwa apartment za bei nafuu at least sh. 6,000,000 mpaka 7,000,000
Hivi jamani wenzetu mnajenga humi humu Tanzania au mnajenga mbinguni?. Maana haya mahesabu.....duhNdio nimemjibu kwa apartment nne hapana. Labda tatu kwa kutoweka mbwembwe au mbili zenye mbwembwe