bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,706
Pole rafiki ngoja wakatulishe ugali huko segerea waongeze hasara..!Mi natamani kweli kulipa mkopo wao ila ajira sina ntalipa na nini? Hapo hapo wameniwekea tena riba.
Inauma sana watu hatuna ajira wala hatujui lini tutaajiliwa tunaishi kwa nguvu za mola afu eti wanatuwekea na riba..