Atalipa tu...Yani HESLB wanatukata 15%. Huu ni uhuni wa hali ya juu. Ila kuhusu jpm kutusaidia, Sidhani kwa sababu nasikia yeye ndio aliwaambia wapandishe kutoka 7% mpaka hii ya SAA hizi 15%.
Duh...Hii inshu ni serious sana..nina mfano halisi wa jamaa yangu yeye ni mwalimu Kwa sasa anachukua mshahara laki na kidogo ana madeni lukuki..ana familia kubwa inamtegemea.
Bodi ya mikopo wanachoangalia ni kodi ya serikali tu kinachobaki wanalamba..hawaangalii unabaki na nini..
Bunge lote lilitusaliti kwa hili.... Siji kusahau..Na katika hili mswada ulipoletwa bungeni sikuwaona wabunge wa upinzani kutoka nje kuonesha kutokubaliana na uonevu wa namna hii: upinzani tz+ccm= njaa na ubinafsi
umesoma wapi chuo kikuu wewe darasa la saba.Hoja namba 3 ni uongo,hata ungeambiwa utarejesha bil 100 bado ungeomba kukopa tu,tulipeni tu na wenzetu wasome
jifunze kuelewa hoja wewe ......wanachokisema watu kwa nini sheria inarudishwa nyuma kinyume na utaratibu, kwa nini baadhi ya mashariti waliyaficha na wanayaibua sasa hivi?Kuna tabia mbaya Watanzania tunafikiri mkopo ni Ruzuku! Mkopo lazima ulipwe na wengi ambao wakimaliza vyuo wanagangamala kutolipa walikuwa wanaandamana ili wapate MKOPO na mkopo lazima urejeshwe. Tusisahau huwezi kutajirika bila kukopa lakini mkopo lazima urejeshwe
Kama shetani si ndo maagizoDuh...
Mkuu huyo Jamaa anaishije!!?
Mimi ndo maana siwaamini wabunge wanchi hii awe chadema,ccm au cuf wote wale wanapigania matumbo yao si ya wananchi!?!!!!Bunge lote lilitusaliti kwa hili.... Siji kusahau..
Kitu kilipitishwa harakaharaka...
Katika lile kundi alikuwemo Shukuru Mlafu dogo yule alikuwa anatafuta kiki tu baada ya maisha ya dar kumuigilia kinyume na maumbileKuna vijana fulani wanasheria walijipanga kwenda mahakamani kufungua kesi ya kudai kurejesha 8% ya makato..
Sijui ilikuaje. Walipotea kimya kimya
Umemaliza Mkuu...Hiyo paragraph ya mwisho No3 Magufuli hakupi msaada wowote...never ever,yeye ndiye aliyewakurupusha hao jamaa waongeze riba kwa kiwango hiko ili kufidia mapengo ya makusanyo.unapomuona kwenye hotuba zake akijigamba hadhrani kwamba hatakopa popote hali biashara mijini zikizidi kuwa mbaya huku nyengine zikifungwa jua tunaokamuliwa ni sisi wananchi ili kujazia hiko kilichopungua.na kila mmoja ana aina yake ya ulipaji!