Wadaiwa mikopo tuishitaki HESLB

Wadaiwa mikopo tuishitaki HESLB

Mi nakuunga mkono mzee hawa jamaa ni hovyo kabisa,mwaka juzi waliniletea barua nadaiwa 7.4M na wakaanza kukata hiyo hela na ikawa imebaki 4M cha ajabu mwaka jana desemba wakaniletea barua nyingine kwamba nadaiwa 8.2M yaani sijawaelewa kabisa nimewaandikia barua nangoja nione mwezi huu wakikata tu hilo ongezeko niende moja kwa moja huko huko kwao,wanatuonea sana na bahati mbaya sisi wakopaji hatujaungana kwenye hili kabisa.
 
dawa ya deni ni kulipa tu, hamna jinsi, mkopo ni mkopo mnaweza mkaisemea maneno mengi sana lakini kumbukeni mlipokuwa mnatesa na hizo hela hamkukumbuka riba itakuwa kubwa na hamkuulizia riba kabla ya kuchukua mkopo. swala hili litafanya wanafunzi wengi kutotamani tena kupewa mikopo (they discourage the mass in need of loan)
 
Mbona hili liko wazi, ndio maana kwa sisi wengine wala hatuhangaiki nao, mimi nawasubiri tu wanipeleke mahakamani kwa kutolipa huo 'mkopo' then nawapiga chali mahakamani kwa hizo hoja. Mfano ni hii ya kukata 15% ya mshahara wa mdaiwa, hii haipo kwenye mkataba, na hata siku moja sheria mpya haipaswi kuathiri mikataba ya nyuma.
RETROSPECTIVE OPERATION
 
Tokea lini lofa na mpumbavu akaweza kulipa hilo deni?
Lipeni nyie wengine huwa hatulipi
 
Mi nakuunga mkono mzee hawa jamaa ni hovyo kabisa,mwaka juzi waliniletea barua nadaiwa 7.4M na wakaanza kukata hiyo hela na ikawa imebaki 4M cha ajabu mwaka jana desemba wakaniletea barua nyingine kwamba nadaiwa 8.2M yaani sijawaelewa kabisa nimewaandikia barua nangoja nione mwezi huu wakikata tu hilo ongezeko niende moja kwa moja huko huko kwao,wanatuonea sana na bahati mbaya sisi wakopaji hatujaungana kwenye hili kabisa.
Hili ndilo tatizo!
Hawa majamaa wameiba hela HESLB, so hufidia JPM asiwatumbue!

Binafsi hawa TUCTA nawaona kama mbuzi tu
 
Mbona hili liko wazi, ndio maana kwa sisi wengine wala hatuhangaiki nao, mimi nawasubiri tu wanipeleke mahakamani kwa kutolipa huo 'mkopo' then nawapiga chali mahakamani kwa hizo hoja. Mfano ni hii ya kukata 15% ya mshahara wa mdaiwa, hii haipo kwenye mkataba, na hata siku moja sheria mpya haipaswi kuathiri mikataba ya nyuma.
Mimi pia nalisubir hili asilimia 8 hainihusu kabsaa
 
Unajua kama MTU unalazimishwa kulipa riba wakati nwingine inaingilia imani za watu, dini nyingine haziruhusu haya mambo. Watu walikopeshwa ili warejeshe kile walichokopeshwa riba zinatoka wapi? Jamani jamani jamani
 
Hadi sasa file ya mkataba wa HESLB bado haijawa'uploaded, naisubiri pia.
 
Mambo mengine ni Ubabe na kuoneana sana, 15% badala ya 8%, interest+retention fees ni uonevu wa kiwango cha juu sana
 
mkuu kwa hizi hoja zako hapa sinachakukosoa na atakaye kosoa basi ametumwa
aisee umeongea hoja nzito sana na kama mambo ndio yako hivyo nendeni mkawashitaki tu wajikute wanafilisika tu
nadhani watajua dhambi yakuendesha nchi kwa matamko bila uwepo reference zozote

ILA MUWE MAKINI TU WANAWEZA KUTAKA KUWA KIBITI HAO ...HAWANAGA UTU
 
Makufuri kanisababishia maishA magumu,siji kusahAu!

kwa kuvunja mkataba wangu na loans board,kuna wakati huwa najuta ni kwann niliwaomba hawa jamaa wanisomeshe!
 
Back
Top Bottom