CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,257
- 12,876
Yeyooooo!
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni......
Mgeni anapokuja nyumbani kwako utamkaribisha kwa glass ya juice/ soda/ maji na hata chakula. Kama ataendelea kuwepo na ni mgeni mwanamke atalala chumba cha watoto wa kike. Kama ni mwanaume kwa watoto wakiume.
Lakini katika makabila ua OVAHIMBA na OVAZEMBA ya NAMIBIA hali ni tofauti kwani mgeni mwanaume anapofika, hukarimiwa kwa kupewa mke wa mwenye nyumba afanye naye mapenzi.
Kitendo hiko hujulikana kama "OKUJEPISA OMUKAZENDU" akimaanisha "KUMKARIMU MGENI KWA KUMPA MKEO" Wenyeji hao husema ni uungwana kwa mwanaume kumzawadia rafiki yake mke wake afanye naye mapenzi.
Wanaongeza kuwa "Ni hiyari yako kumkabidhi rafiki unayempenda alale na mkeo, kwa sababu siyo jambo la kulazimishana. Basi wanapendekeza itungwe sheria ya kuwalinda" Wanaongeza kwa kusema mfumuko wa magonjwa usiwe sababu ya kudidimiza mila na desturi zao.
SWALI: Je hii mila ingelikuwa miongoni mwa jamii zetu je ungemruhusu rafiki yako alale na mkeo??
hAPA #TeamBazazi inawahusu sana, make kila siku wangekuwa na safari zisizoisha kwa marafiki zao, mara babu Asprin anafunga safari kwenda kwa Mentor ilimradi tu apewe mke alale naye. Siku nyingine Nicas Mtei huyoooo kwa mwekundu ili akalale na mkewe, hatujakaa sawa Tyta huyo kwa Mashaxizo kumendea mkewe, yaan ingelikwua balaa nusura ya mkosi.....
Wapi.... Mtambuzi ungeruhusu KakaKiiza aje kwako umuachie Mama Ngina lale naye ili kudumisha mila??? Mkuu Excel utakubali Mama Bhoke alale na Mzee utafiti kweli????? Arushaone utamruhusu mkeo alale na Erickb52 kwa sababu ya mila na desturi zenu kudai hivyo??
DEMBA, Munkari, ladyfurahia, Passion Lady, tian, MankaM, ICHANA, Zinduna, King'asti, mandieta, tinna cute, Lady doctor, Chocs, Paloma, Kongosho, Asnam, snowhit, amu, sweetlady je mnaweza tayari kulala na marafiki za waume zenu ili kudumisha mila na desturi???
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni......
Mgeni anapokuja nyumbani kwako utamkaribisha kwa glass ya juice/ soda/ maji na hata chakula. Kama ataendelea kuwepo na ni mgeni mwanamke atalala chumba cha watoto wa kike. Kama ni mwanaume kwa watoto wakiume.
Lakini katika makabila ua OVAHIMBA na OVAZEMBA ya NAMIBIA hali ni tofauti kwani mgeni mwanaume anapofika, hukarimiwa kwa kupewa mke wa mwenye nyumba afanye naye mapenzi.
Kitendo hiko hujulikana kama "OKUJEPISA OMUKAZENDU" akimaanisha "KUMKARIMU MGENI KWA KUMPA MKEO" Wenyeji hao husema ni uungwana kwa mwanaume kumzawadia rafiki yake mke wake afanye naye mapenzi.
Wanaongeza kuwa "Ni hiyari yako kumkabidhi rafiki unayempenda alale na mkeo, kwa sababu siyo jambo la kulazimishana. Basi wanapendekeza itungwe sheria ya kuwalinda" Wanaongeza kwa kusema mfumuko wa magonjwa usiwe sababu ya kudidimiza mila na desturi zao.
SWALI: Je hii mila ingelikuwa miongoni mwa jamii zetu je ungemruhusu rafiki yako alale na mkeo??
hAPA #TeamBazazi inawahusu sana, make kila siku wangekuwa na safari zisizoisha kwa marafiki zao, mara babu Asprin anafunga safari kwenda kwa Mentor ilimradi tu apewe mke alale naye. Siku nyingine Nicas Mtei huyoooo kwa mwekundu ili akalale na mkewe, hatujakaa sawa Tyta huyo kwa Mashaxizo kumendea mkewe, yaan ingelikwua balaa nusura ya mkosi.....
Wapi.... Mtambuzi ungeruhusu KakaKiiza aje kwako umuachie Mama Ngina lale naye ili kudumisha mila??? Mkuu Excel utakubali Mama Bhoke alale na Mzee utafiti kweli????? Arushaone utamruhusu mkeo alale na Erickb52 kwa sababu ya mila na desturi zenu kudai hivyo??
DEMBA, Munkari, ladyfurahia, Passion Lady, tian, MankaM, ICHANA, Zinduna, King'asti, mandieta, tinna cute, Lady doctor, Chocs, Paloma, Kongosho, Asnam, snowhit, amu, sweetlady je mnaweza tayari kulala na marafiki za waume zenu ili kudumisha mila na desturi???