Wadada wote ni "mabwege" wakishalewa mapenzi

Wadada wote ni "mabwege" wakishalewa mapenzi

Muda Utafika utafanya wewe, na ndo itakuwa permanent..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah yani hii ni kweli kabisa
Wanaume mara nyingi wanaanza kupenda na kuwa wapole wao huku mwanamke akiwa hajakolea...mwanamke akikolea ndio kimoja hasikii haambiwi

Sasa hapo usiombe mwanaume awe na moyo uliochoka kubembeleza...lazima mwanamke aisome namba
 
Kumshika mwanamke akili si ndiyo mapenzi yenyewe sasa hayo kunoga au unachukulia kama mabwege that is wrong, ukiona kachizika sasa hapo ndiyo na wewe unampenda zaidi ili uendelee kmchanganya, sio kumpa mateso sasa

Super hero daddy
 
Hakuna penzi tamu kama lile mkute wote mmechizika mkachizika

Super hero daddy
 
Ok daa Mimi mwenyewe kuna sehemu nimekolea mpaka najishangaa,miaka 12 iliyopita nilikuwa karibu naye sana na hakuwa kunivutia hata siku moja na hata waliokuwa wakitoka naye nilikuwa nawashangaa Sana,lakini Leo nimenasa mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana umepatikanaaa, sasa ni kumpenda tu hakuna namna.

Super hero daddy
 
Back
Top Bottom