Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,972
- 22,931
Dada za nao wapo kibwege?!.
Pole sana
Pole sana
Taratibu basi.. vipi uzima upo lakin?Wewe usijaribu kugeneralize vtu ambavyo hata huvielew we kama demu wako amekuwa zezeta n wako hyo usifikir kila mtu anawaza mapenzi mxiuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzima upo m nmekeleka kwa sababu majijua nilvo afu mtu kuniunganisha ndo nn sasa
Pole jaman.. usipaniki basi sawa Mtoto mzuri, nikuletee nini leo?Uzima upo m nmekeleka kwa sababu majijua nilvo afu mtu kuniunganisha ndo nn sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
ah wapi!sie wadada tunapenda huku akili zetu zikiwa active 24/7 mtoa mada anazungumzia maybe wale watoto wa primary ila mimi na utu uzima wangu hiko kilichozungumzwa ni ubatili mtupu
Kila mwanamke anaendewa kulingana na age yake na anakaa vizuri tu, hujakutana na mwenye talanta yakeah wapi!sie wadada tunapenda huku akili zetu zikiwa active 24/7 mtoa mada anazungumzia maybe wale watoto wa primary ila mimi na utu uzima wangu hiko kilichozungumzwa ni ubatili mtupu
KabisaaUnajua kunogeshwa wewee au mapenzi ni kama kurogwa [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yule mwanajeshi aliyempa pisi sare zake za kazi
Haa kumbe!! Mimi nilijua simple tuNi talanta, hakuna kitu rahisi kama kumzamisha mwanamke kwenye dimbwi la mahaba hadi akalewa chakari
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji6]Sasa wakute wanapiga umbea sasa..utasikia "jitu sijazaliwa nalo ya nn linitoe roho, ata mm nina kwetu"
Sasa njoo kwenye hualisia yaani utafikiri ubongo kaacha kwa mashost zake kwa Jamaa kaja na moyo tu[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kuhamaki huku bila shaka umeguswa na unahisi kuna mtu kafungulia uziWewe usijaribu kugeneralize vtu ambavyo hata huvielew we kama demu wako amekuwa zezeta n wako hyo usifikir kila mtu anawaza mapenzi mxiuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi nimelogwa, kumbe inawezana ni kunogeshewa tu ulozi hauhusikiUnajua kunogeshwa wewee au mapenzi ni kama kurogwa [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna nimesema tu mapenzi yakikolea unakuwa msukule sishangaiNahisi nimelogwa, kumbe inawezana ni kunogeshewa tu ulozi hauhusiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hahaha hahaha
Ok daa Mimi mwenyewe kuna sehemu nimekolea mpaka najishangaa,miaka 12 iliyopita nilikuwa karibu naye sana na hakuwa kunivutia hata siku moja na hata waliokuwa wakitoka naye nilikuwa nawashangaa Sana,lakini Leo nimenasa mimi