kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,819
- Thread starter
- #21
Mkuu kama hujui jinsi ya kuzikamata hisia zao ndo utapata tabu.. ila wanawake wote ni wepesi kama pamba boss
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama hujui jinsi ya kuzikamata hisia zao ndo utapata tabu.. ila wanawake wote ni wepesi kama pamba boss




. Mpk akagombana na my main chick, akaenda mbali akaiba namba akamwaga ugali na mboga zake kabisa



.


















HaswaaNaona kama vile umeingia akilini mwangu. Kama kweli ww mwanaume rijali utakuwa ushawahi xperience hiki kitu at some point.
Mm hamna ex asiyenikumbukaga, na hawana say kabisa juu yangu, nawaendesha km maroboti, laiti ningekuwa playboy ningekuwa na chain ndefu sana.
Ex wangu wa kwanza kabisa aliwahi nambia nenda kawatoboe toboe huko chuo, kipindi hiko ndo naenda first year, sikumuelewa ila nikaja nikamuelewa badae sana.
Kuna mke wa mtu mwenye watoto wanne alikuwa anafunga safari toka Mbeya mpk Dar kila mwezi. Mpk akagombana na my main chick, akaenda mbali akaiba namba akamwaga ugali na mboga zake kabisa
.
All in all tukumbuke UKIMWI upo na unaua.
![]()
Atuache bwana ubwege wetu unamuhusu nini
Na ni wanaume wachache wenye hizo talanta.
Ni talanta, hakuna kitu rahisi kama kumzamisha mwanamke kwenye dimbwi la mahaba hadi akalewa chakari

Utakuwa mchaga wewe,they are not romanticAisee!baada ya kusoma nikagundua kila ulichoongea humu ni kweli except kwangu ni vice versa yani hayo yote yanafanywa na mwanaume kwangu na sio mimi kufanya hayo
Hahahhaha, kweli MkuuSasa wakute wanapiga umbea sasa..utasikia "jitu sijazaliwa nalo ya nn linitoe roho, ata mm nina kwetu"
Sasa njoo kwenye hualisia yaani utafikiri ubongo kaacha kwa mashost zake kwa Jamaa kaja na moyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yule mwanajeshi aliyempa pisi sare zake za kazi
Ni talanta, hakuna kitu rahisi kama kumzamisha mwanamke kwenye dimbwi la mahaba hadi akalewa chakari
Sent using Jamii Forums mobile app