Wadada wenye vitambi wanaboa

Wadada wenye vitambi wanaboa

jacobian

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
417
Reaction score
158
Wadau,

Nowdays vitambi vimekosea njia kabisa, yaani dada zetu wamebeba balaa, kutana na mdada nyuma flat alafu mbele kitambi kah! ila kuna wengine wenye vitambi vidogo dogo, vimetengeneza ka slope, hao burudani wanapendeza.

Sijui ni mimi peke yangu.
 
Kitambi kwa Mwanamke ( Msichana0 siyo Deal Kabisa; Ila kama Ulivyosema Kuna Kigine Kinapendeza Kidezini lakini hiki ni Lazima Huku Nyuma Pawepo na Mbinuko Kusupport body. Siyo Siri Kitambi Ni Bundi Kikiwa kwa Mwanamke anayesanya sanya.
 
vitambi bora vibaki kwa wakaka,,,,,,,,,,,,,fullll stop
 
nyuma sitikisiki hata mbele ishindikane .. loh

japo kiukweli havipendezi kabisa ila hata sisi hatupendi vinakuja byenyewe baby asubuhi kaninunulia mtori na chapati moja/... mchana kukulabda chips au wali.. jioni nyama choma tena nakula saa nne usiku na kabia juuu uwiiiii lazima tu kije
 
Sio peke yako, vitambi msala. Ila akiwa na lean body, mean thighs, fine future at the back na yuko curvy,
kitambi cha kiaina si mbaya sana.
 
nyuma sitikisiki hata mbele ishindikane .. loh

japo kiukweli havipendezi kabisa ila hata sisi hatupendi vinakuja byenyewe baby asubuhi kaninunulia mtori na chapati moja/... mchana kukulabda chips au wali.. jioni nyama choma tena nakula saa nne usiku na kabia juuu uwiiiii lazima tu kije

hahahaha nyuma huna hata mbele hukose, ila fanyeni mazoezi vipungue
 
Ha ha ha vitambi kwa dada zangu ni bia na nyama choma wako vzr sana siku hizi
 
Tena ni mabingwa wa kuchezesha hayo matumbo yao kitandani na usipoangalia vizuri unaweza dhania yupo anakata mauno kumbe miguno inasindikizwa na kutikisika kwa vitambi balaa tupu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom