Wadada wenye changamoto ya usikivu hafifu wanajua kupenda na wapo moto sana

Wadada wenye changamoto ya usikivu hafifu wanajua kupenda na wapo moto sana

Baba Kisarii

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2024
Posts
2,263
Reaction score
3,581
Mabinti wenye changamoto ya usikivu hafifu huwa ni watamu sana.

Awali ya yote naomba niweke wazi kuwa changamoto ya usikivu hafifu haimaanishi kuwa mhanga ni kiziwi asiyesikia kabisa.

Sasa basi nimewajaribu wawili tu nikatoka nao kwa nyakati tofauti yaaniiii nilijilaumu kwa kutoijua hii siri ya wadada wenye usikivu hafifu...
Nilonja kitu ambacho sikuwahi pata kwa mwanamke yeyote yaani wapo hot kinoma noma....

Nimeamua kuwaoa wote wawili na kamwe sirudi tena kwa hao wenye usikivu kamili maana hao wanadharau halafu hawajui mahaba kabisa..

My brothers ikiwa unataka uenjoy mahaba halisi basi tafuta mdada mwenye usikivu hafifu utakuja kunishukuru..
 
Ni kawaida hiyo, mara nyingi wadada wenye changamoto flan flan za kibaolojia huwa wanakua submissive sana kwenye mahusiano kwanza hawapo radhi madhaifu yao yaendelee kua exposed na pili wanataka kuprove wapo vizuri kuliko hata wale ambao wapo normal
Mtoa mada fata huu ushauri.

Hao wanawake hawana lolote , wengi wanagawa Sana kwakuwa wanaamini kutosikia vizuri hilo linawaweka katika chance ya kutopata a real man so wao kuwa Submissive ni Kutokana na hiyo changamoto.

The same kwa wanawake ambao hawana Mwonekano wa kuvutia Kama , makalio Makubwa n.k na wao huwa ni Maji Mara moja.

Na wakipata MTU watataka wa prove wrong
 
We kama umekamatika kwa kiziwi, vumilia. Motivation za kisiasa hatutaki.
Mtu kuongea nae hadi upayuke kwa nguvu. Mtafutie tu hearing aid device basi
 
Watamu kinoma, mi ndo nilitoa ile chorus ya
Siyo siri mi nampenda binti kiziwiii🎶
Moyo wangu ameuteka binti kiziwii🎶
 
Back
Top Bottom