Wadada wenye 30+ wanatia huruma

Unaona sifa mwenyewe kuongea upumbavu kama huo! Unafikiri wadada wote wenye umri kuanzia miaka 30 ndo wana dhiki ya kuolewa? Tena afadhali na hao maana ukioa wanatulia kweli kuliko videmu vinavyoanza kuvunja ungo, maana wengi wao mapepe tu bora hata wa miaka 30-35 akili zao zimekuwa za kiutu uzima, wengi wao siyo tegemezi na wanajua kusaka ela. Na wakipenda wanapenda kweli, sasa ww hangaika na umri wa chini kila cku kuombwa vocha mara ela ya Saloon mara nguo ya sikukuu mpaka ela ya chupi
. Wakati wenzao wanawaza maisha. Kiukweli sitaki Msichana asiyezidi miaka 30. Ndiyo ujiulize sasa kwanini msanii mkubwa mwenye Pesa zake kama daimond anamng'ang'ania '' 'zarithebosslady 'na kuishia kuchezea kina 'Hamisamobetto' binafsi nataka mwanamke wa maendeleo. Umri namba angalia maendeleo kijana.

Mkuu usiwe na dhana ya kumtegemea sana mwanamke eti yuko vizuri kiuchumi siyo tegemezi. Hao wawezeshaji huwa wanakula muda wote. Haya mambo yana siri sana na wanaume wahanga ni wale wapenda mteremko.
 
Kuna under 30 wametumika mara mbili zaidi ya wenye 30 na wana watoto juu nandio unaowaona wanafaa hahahah kunauwezekano wa wavulana kutojua tunaitaji nini
 
menopause 30? mbona bado mdada mbichi kabisa anaweza kupata mume akaolewa na maisha yakaenda na mtoto juu
 
Mkuu usiwe na dhana ya kumtegemea sana mwanamke eti yuko vizuri kiuchumi siyo tegemezi. Hao wawezeshaji huwa wanakula muda wote. Haya mambo yana siri sana na wanaume wahanga ni wale wapenda mteremko.
Cjamaanisha kumtegemea mwanamke wa miaka 30 na kuendelea. Ni kwamba wengi wao wanajua nini maana ya maisha, kufanya shughuli yeyote ile ya maana ya kumuingizia kipato hata kama 5000 kwa wiki kama ajira imekuwa ngumu simaanishi kuuza K. Na siyo kila kitu kumtegemea mwanaume tofauti na hao wa miaka 18 sijui 20 mnaowaona wabichi kwa mitazamo ya baadhi ya vijana wa sasa hivi. Hata kama binti wa miaka 30 ukimkuta bado yupo kwao lakini utakuta na kijishughuli chake cha kukuingizia kipato hata kama kukaanga mihogo angalau na yeye maisha yaende siyo tegemezi 100% wengi wa wadada wa miaka 30 na kuendelea huwa na maisha yao na kwenye vyumba vyao na pia wanajua nini maana ya maisha, Na wakipenda wanapenda kweli na ni watulivu na wasikivu japo siyo wote. Lengo lao kubwa ni kupata mwanaume wa kujenga naye maisha na hata ukikosa ela wavumilivu sana. Ila sijasema usimuhudumie mahitaji yake hususani akiomba msaada au chochote kile cha kumsapoti kwa kile ulichonacho kulingana na uwezo wako. Na pia hata ukikosa siyo ishu sana kwao wanajali utu na ni waelewa baadhi niliokutana nao. Tofauti na hao wa miaka sijui 20 pasua vichwa tu
 
Cjamaanisha kumtegemea mwanamke wa miaka 30 na kuendelea. Ni kwamba wengi wao wanajua nini maana ya maisha, kufanya shughuli yeyote ile ya maana ya kumuingizia kipato hata kama 5000 kwa wiki kama ajira imekuwa ngumu simaanishi kuuza K. Na siyo kila kitu kumtegemea mwanaume tofauti na hao wa miaka 18 sijui 20 mnaowaona wabichi kwa mitazamo ya baadhi ya vijana wa sasa hivi. Hata kama binti wa miaka 30 ukimkuta bado yupo kwao lakini utakuta na kijishughuli chake cha kukuingizia kipato hata kama kukaanga mihogo angalau na yeye maisha yaende siyo tegemezi 100% wengi wa wadada wa miaka 30 na kuendelea huwa na maisha yao na kwenye vyumba vyao na pia wanajua nini maana ya maisha, Na wakipenda wanapenda kweli na ni watulivu na wasikivu japo siyo wote. Lengo lao kubwa ni kupata mwanaume wa kujenga naye maisha na hata ukikosa ela wavumilivu sana. Ila sijasema usimuhudumie mahitaji yake hususani akiomba msaada au chochote kile cha kumsapoti kwa kile ulichonacho kulingana na uwezo wako. Na pia hata ukikosa siyo ishu sana kwao wanajali utu na ni waelewa baadhi niliokutana nao. Tofauti na hao wa miaka sijui 20 pasua vichwa tu
Noted!
 
Mkuu..
Kifupi hayo ni mawazo yako na mitazamo yako binasfii..
Ukweli kila mmja/mtuu anajua serkali ya maisha yake hivyo usiassume na kutoa judgement..sababu unaonyesha ulivyo na akili nyepesi..

Tuwaheshimu dada zetu, mama wa watoto zetu kiujumla jieshimu ili uweze kuwaeshimu..
 
Ukiona niko kwenye shida, niombee...
Ndoa yangu imevunjika, niombee...
Nikikawia kupata mtoto, niombee...
Hata nijapo kuwa mjane,niombee...
Ujue kwa maombi yako mimi nitasimama tena,
Ujue kwa maombi yako mimi nitabarikiwa!

USIFURAHI JUU YANGU by UPENDO NKONE
Kama hujiombei haiwezi kukusaidia st. Augustine anasema hivi "GOD CREATES YOU WITHOUT YOU AND HE WILL NOT SAVE YOU WITHOUT YOU" maombi ya watu bila wewe ni kasi bure..
 
Ukipiga mluzi hata kama unafukuza ndege akiusikia anasimama. Ukimtumia SMS ya salaam anajibu kwa unyenyekevu na adabu zote.

Ukianza kuchat naye mwambie tu kuwa mm ni mtu mzima sitaki mahusiano ya kupotezeana muda. Dada ataunga mkono hoja na kukuona kuwa upo serious kwa ndoa.

Akichelewa kujibu SMS ama akipinda kidogo kwenye hoja mtishie kumuacha, Dada atakusihi "mpk basi".

Baada ya hapo mwambie akuletee mgegedo kwakuwa hutaki "kunywa maji" sehemu nyingine mara upatapo kiu. Dada atakuja mbioooo. Kumbe kidume unamuwaza under 18, muhenga anajituma bure na kufanya usafi na mapishi huku ukimng'ong'a.

Jamani wadada mpo kwenye zama ngumu sana hizi.. Nikisikiliza mastori ya kiumeni nawaonea huruma sana.
Hivi huwa mnajua kwamba mkiondoka getto anakuja under 18 kupiga kambi?

My take. Dada ukifikisha 30 hujaolewa, bora uachane na ndoto za kuolewa. Tafuta utaratibu wa kukata kiu yako tu. Dada utamu ushakwisha na joto hauna tena. Pia ute wa kulainisha k ushaganda na kutengeneza vijiwe vidogo vidogo (,crystals). Menopause ndiyo hiyooo inakuja Akutake nani!!!????
Aisee umewatukana WANAWAKE WOTE,hasa sentensi zako za mwisho kabisa.
Respect them as human being
 
Kama hujiombei haiwezi kukusaidia st. Augustine anasema hivi "GOD CREATES YOU WITHOUT YOU AND HE WILL NOT SAVE YOU WITHOUT YOU" maombi ya watu bila wewe ni kasi bure..
Sio kwamba hawa watu hawajiombei, wanaomba sana tena
usiku na mchana.

Lakini kuna ndugu zetu kutwa ni kuwasimanga, kuwanyanyasa na kuwatumia watakavyo pasipo huruma.....yatupasa kuwaombea kwani hatujui ni mangapi walipitia na wanaendelea kuyapitia kufikia hapo walipo. Maneno yetu yamekuwa mwiba mioyoni mwao badala ya kuwa faraja kwao.

Kuna wadada waliosingle leo hii baada ya kufiwa na waume zao. Unapomsimanga na kujisifia kumtumia utakavyo,unazidisha msiba moyoni mwake.

Kuna waliosingle kwa sababu za kiafya, unapowasimanga unazidisha huzuni mioyoni mwao.

"USIFURAHI JUU YANGU by UPENDO NKONE"
 
yanini kuangaika na wanawake 30+ wakati vitu vibichi vipo vya kutosha..30+ unakuta wahuni washajipigia vya kutosha(kama kakuvutia wewe..ni wanaume wangapi walio vutiwa nae kama wewe mpaka amefika umri uwo),unakuta kashatoa mimba nyingi sana na kama kwenye uchumi yuko vizuri itaonekana yeye ndo anakutunza(utaonekana mario)
Umeongea kiume man. Atakaye pingana na mawazo yako mtazame tu kisha mwache apite
 
aliyeliwa liwa sana,ambaye kashatenda mtu huko so anajua maumivu ya kutesa mtu mpaka akajifunza maisha ya mahusiano
Mkuu hata hawa serengeti washaliwa liwa japo siyo mara nyingi kama wahenga. Wahenga wameliwa mara nyingi mpk k imeishiwa ute.

Na kuhusu kutenda na kutendwa hata Serengeti wanayajua maumivu ya kutenda na kutendwa. Kwani inabidi MTU atendwe mara 100 ndipo ajifunze? Kwahiyo kuoa muhenga ni sawa na kuoa msukule wa hisia za mapenzi. Yaani nina maana muhenga hisia zake zilishaga kufa siku nyingi sana
 
Kuna under 30 wametumika mara mbili zaidi ya wenye 30
Haiwezekani kamwe mdada 20 yrs awe amegegedwa mara mbili zaidi ya 30+. Labda kama unaongelea wanaojiuza.

Chukulia kwamba unamuona mdada anayestahili kuolewa ktk mtaa X na mwenye 30+ ktk mtaa huo huo. Sasa hawa ndiyo tunawaongelea.

Nakazia kwa kusema lingqnisha mwenye maadili na mwenye maadil, chakaramu na chqkaramu. Mfano. Linganisha anayejiuza mwenye 30+ na anayejiuza mwenye 20. Dada anayeonekana "katulia" kitaa mwenye 30+, na mdada anyeonekana "katulia" kitaa mwenye 20.

Lazima muhenga atakuwa hafai, hafai kqbisaaaa.
 
. Na pia hata ukikosa siyo ishu sana kwao wanajali utu na ni waelewa baadhi niliokutana nao. Tofauti na hao wa miaka sijui 20 pasua vichwa tu
Nina migegedo 2_mkuu. Mmoja under 20, hana usumbufu kabisaaaa. Huyu wa pili ambaye ana 32 alizalishwa sijui na mjanja gani. Ni msumbifu huyo!!! Mara kodi, mara Luku, mara unga, mara mafuta. Yaani haiishi wiki anapiga kizinga. Kwahiyo unachosema siyo kweli
 
Wapo wa aina 2..ya kwanza ni wamesoma mambo magumu sn mpk wamesahau majukumu yao ya kijinsia hao hawana shida ukipata we oa tu...wa pili wanatabia za ajabu na wametombeka mpk sufu zimewatoka na wameloga kwa waganga wote tanzania na badoooo hali si shwari...hawa achana nao kbs
 
Nina migegedo 2_mkuu. Mmoja under 20, hana usumbufu kabisaaaa. Huyu wa pili ambaye ana 32 alizalishwa sijui na mjanja gani. Ni msumbifu huyo!!! Mara kodi, mara Luku, mara unga, mara mafuta. Yaani haiishi wiki anapiga kizinga. Kwahiyo unachosema siyo kweli
Mimi wa kwangu nimemzalisha mwenyewe. Na sasa naishi naye ila Pamoja na yote ana kazi yake na vibiziness vya kujiongezea kipato na vilevile nilimkuta tayari ana maisha yake kwahiyo sioni hasara kumumuhudumia kwa nilichonacho kulingana na uwezo wangu. Kwa kifupi ni mtafutaji hata nisipolipa kodi anajua mwenzangu hali imebana analipa mwenyewe. Nikipata simtupi tupo pamoja. Waswahili wanasema mtaka cha uvunguni sharti ainame.,na Ukipenda boga penda na ua lake. Siyo kisa kuzalishwa ndiyo ushindwe kumpa mahitaji yake pindi anapokuwa na shida. Hata kama anataka milioni na wewe uwezo huo huna mwisho laki mbili basi chamsingi umsapoti hata robo kama siyo nusu au mazima kuliko kumtumia na kumaliza haja zako halafu umwache solemba itakuwa ni udhalilishaji huo.

Ukigundua unafanywa kitega uchumi na mwanamke ambaye ajishughulishi kwa chochote hata ukimpa mtaji hakuna cha maana anachofanya jua huyo siyo saizi yako chapa mwendoooo
 
Ukiona niko kwenye shida, niombee...
Ndoa yangu imevunjika, niombee...
Nikikawia kupata mtoto, niombee...
Hata nijapo kuwa mjane,niombee...
Ujue kwa maombi yako mimi nitasimama tena,
Ujue kwa maombi yako mimi nitabarikiwa!

USIFURAHI JUU YANGU by UPENDO NKONE
Sawa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom