Wadada wapumzisheni kaka zetu

Dah wanawake kabla hujaolewa unakua kondoo ukiolewa unakua chui,mnatupa shida sisi mawifi roho inauma ila tukiaema mnasema si wakorofi....wakaka kuweni makini na wanawake mnaochagua kuwa wake
Aisaee !! Naona Kama tunaishi nyumba moja... Maana kilasiku (nimenuniwa, amevimba hasemi nsmi akisema NI ukali tu)!!
 
Back
Top Bottom