Dah wanawake kabla hujaolewa unakua kondoo ukiolewa unakua chui,mnatupa shida sisi mawifi roho inauma ila tukiaema mnasema si wakorofi....wakaka kuweni makini na wanawake mnaochagua kuwa wake
Wewe umeolewa? Vp mawifi zako unaishi nao vipi (20 marks).Dah wanawake kabla hujaolewa unakua kondoo ukiolewa unakua chui,mnatupa shida sisi mawifi roho inauma ila tukiaema mnasema si wakorofi....wakaka kuweni makini na wanawake mnaochagua kuwa wake
Alafu anasahau hamna watu wenye roho mbaya kama ndugu wa mumepole sana mana roho inakuuma kuona wifi ako anapendwa na kaka yako
Dah wanawake kabla hujaolewa unakua kondoo ukiolewa unakua chui,mnatupa shida sisi mawifi roho inauma ila tukiaema mnasema si wakorofi....wakaka kuweni makini na wanawake mnaochagua kuwa wake
Aisaee !! Naona Kama tunaishi nyumba moja... Maana kilasiku (nimenuniwa, amevimba hasemi nsmi akisema NI ukali tu)!!Dah wanawake kabla hujaolewa unakua kondoo ukiolewa unakua chui,mnatupa shida sisi mawifi roho inauma ila tukiaema mnasema si wakorofi....wakaka kuweni makini na wanawake mnaochagua kuwa wake
Aisaee !! Naona Kama tunaishi nyumba moja... Maana kilasiku (nimenuniwa, amevimba hasemi nsmi akisema NI ukali tu)!!
Ndio uhame sasa