Si mchezo!!malavidavi kuanzia mezani!!
Ukienda bedroom nako ndio usiseme!!Bonge la ujumbe kwenye mashuka!!!
Siku hizi mavitu ya kizungu yametawala!!Mara hotpots,maduvee,nk
Si mchezo!!malavidavi kuanzia mezani!!
Ukienda bedroom nako ndio usiseme!!Bonge la ujumbe kwenye mashuka!!!
Siku hizi mavitu ya kizungu yametawala!!Mara hotpots,maduvee,nk
Ujumbe ndio nilioupenda.
Natuma Salamu kwa Wale Wote Wanaotunyatia kwenye Mahusiano yetu.
Nimempata kwa tabu,
Enzi Hzo Kaajiriwa kwenye shamba letu la Miwa,Sitimbi.
Nimemleta mjini kakutana na Maji ya Bomba sasa Mnaanza kumsarandia.
Shikeni zenu Adwabu.
Lol!!
(Hii Hadithi Nilikuwa Naipendaga Sama)
Zamani hata muda wakurudi nyumbani mume ulikuwa unajulikana, ila sikuhizi unaweza kufunika msosi saa mbili, mume akarudi saa 5 usiku hata chakula kitakuwa kimepoa. Ndio maana mama zetu wanatumia hotpot kwakwenda mbele.
Dah hongera kama ni kweli.....!!