mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 664
Mkuu hiyo 200 ikikosekana kwenye manunuzi hupati bidhaa unayotaka. Hata kwenye daladala, vocha, nk.Yaani we unadai mpaka 200? acha ubahili wewe ..
Mkuu hiyo 200 ikikosekana kwenye manunuzi hupati bidhaa unayotaka. Hata kwenye daladala, vocha, nk.Yaani we unadai mpaka 200? acha ubahili wewe ..
ulitaka mema ya .nchi wajekula jf??hiyo.ndiomadhabahu yao..ndiomaana sadaka uruhusiwi kujua ikowapi inajua madhabahu imetumikajeNaandika haya kwa kuwa mimi ni mhanga wa hili suala.Hawa wadada huwa wanakukata 200 au 300 hawasemi ukihesabu salio lako unakuta limepungua ukiwauliza wanakuambia hawana change,nimefanyiwa zaidi ya mara mbili mara ya tatu nikatoa mia tatu ili nipewe 500 mdada akaniambia nisubiri,mpaka mteja mwingine aje ndipo afungue vidude vyao vile , nikae kula zangu nilivyomaliza nikaenda kukumbusha salio langu kumbe mdada kaondoka ,wale walioko zamu wakamjua mpokea pesa alietoka punde msela Mmoja akamfuata aliko akiwa na receipt yangu akarudi na 500 yangu(huku ni kule kwenye menu) wale wadada wajanjawajanja sana wengi wao.
TUWE MAKINI
Kuna mtu aliniuliza mbona unanidai hadi mia
nikamjibu mbona unataka kunidhulumu hadi shilingi mia?
Jamani bora hao private sector sisi tunavuka kigongo ferry mwanza nauli ya kivuko mia nne ukitoa mia tano hurudishiwi change tena ukidai unafokewa haswa.last week nimekuta wamebandika tangazo abiria waje na change kamili.Nilimuliza yule dada hilo tangazo linatokana na sheria ipi nchi hii akasema hayo ni maelekezo toka ofcn.Eti mh Magufuli ni kweli abiria tunavuka busisi tukitoa pesa ZAIDI YA MIA NNE HATUHUSIWI KURUSHIWA CHANGE?
Abiria wa hapo mtakuwa wapole sana....
Hata pale makumbusho wanatabia hiyo sana kwa kweli wajirekebishe