Wadada wa Uchumi Supermarket - Quality Center

Wadada wa Uchumi Supermarket - Quality Center

Kwa mtu mwenye akili punguaani na mwenye kuendesha maisha kienyeji bila kufuata taratibu ataona hiyo Sh 200 ni ndogo..

Bora wewe umezungumza, kama wewe ni mtafutaji, huwezi kupuuza hela eti kwa vile ni ndogo kama 200 kwa kutafuta sifa za kienyejienyeji tu. Bora utoe hata milioni kwa kupenda kuliko kukatwa hata 100 kwa lazima. Tip ya kuforce inaudhi sana, ni kama dharau Fulani hivi.
 
Kudai chenji ni haki yako...nashangaa anayesema et unadai had 200 ww ukipungukiwa hiyo atakupa bidhaa?
 
Wabongo bwana kwa kuridhika..kwa hiyo mia mbili au 300 unaiona ndogooo!!
 
Nyanya mbichi usisahau wale wa NAKKUMATT M/City nao style yao ni hiyohiyo! Naona waKenya wamekuja kuvuna kwa kasi ya ajabu!

Mimi huwa nakomaa nao tu!
 
Last edited by a moderator:
Naandika haya kwa kuwa mimi ni mhanga wa hili suala.Hawa wadada huwa wanakukata 200 au 300 hawasemi ukihesabu salio lako unakuta limepungua ukiwauliza wanakuambia hawana change,nimefanyiwa zaidi ya mara mbili mara ya tatu nikatoa mia tatu ili nipewe 500 mdada akaniambia nisubiri,mpaka mteja mwingine aje ndipo afungue vidude vyao vile , nikae kula zangu nilivyomaliza nikaenda kukumbusha salio langu kumbe mdada kaondoka ,wale walioko zamu wakamjua mpokea pesa alietoka punde msela Mmoja akamfuata aliko akiwa na receipt yangu akarudi na 500 yangu(huku ni kule kwenye menu) wale wadada wajanjawajanja sana wengi wao.

TUWE MAKINI
Ni kweli sio tabia nzuri, mia mbili ni ndogo ila ni afadhali uiache kwa ridhaa yako mwenyewe, kwa siku akichukua miambili kwa watu 100 ni sh ngapi? uongozi uangalie hili
 
Sasa hivi Uchumi wanauza mifuko ya plastic ya kubebea bidhaa
 
Back
Top Bottom