NN, hahaaa, ugonjwa wa Ngosha huo. Waarabu wa pemba tunafahamiana. Huyu ukiambiwa Ng'ombe 30, unaongeza wa kwako 10.
Nilishapata habari hadi kwao anapoishi kule Mbezi Beach. Ila sasa hivi nadhani atakuwa kahama na anajitegemea.
Niko mbioni kufungua kikampuni na nikifungua tu, namtafuta yeye anitangazie Biashara yangu. Nataka kuja kumuona kwa karibu. She is not my type on bed but for eyes washing mwana wane, mhhhhhhh!!!!!! kwa sana tu. Kukanda finu nakuachia wewe na kituko. Balantanda yeye anamsaka rafiki yake aitwaye Fidela. Kweli Scandal zinanyenyua wanawake......
NN, huyu NS kwa kweli namhusudu sana. Kama ni kubeba basi labda MKE (hapa itajalisha tabia) ila kwa hit and run hapana. Ntaumia sana kumuacha huyu binti. Na kwa sababu nimeshaowa siku nyingi na sina mpango wa kuowa tena, ntafurahia sana kumuona akiwa KAVAA kuliko akiwa wazi. Hapo ntabaki na NDOTO zangu za UZURI wake. Zaidi nakuachieni nyie.
Ila BIASHARA yangu ya kwanza, lazima watangaze NSIA SWAI au MANGE KIMAMBI. Ila Nsia na yeye aache kujifanya MPENDWA. Maji yameshamwagika, yeye aendelee kuishi. Atumie hiyo nafasi kutengeneza hela. Siyo siri kuwa anafahamika sana kwa WATANZANIA kuliko manyota wengi wa Kike pale Bongo.
Dada Nsia wee, niombee tu nifanikiwe. Utatangaza mradi wangu hadi siku utanigambira "STOP".
NN, umia tena roho (Picha kutoka kwa Shigongo).
mimi napenda wanyalukolo bana...they are ladies in the streets but freaks in the bedroom....acha bana...
Halafu wananiachaga hoi sana na kale kamsemo kao ka 'niangusage' lol
Sio siri kama unataka mwenza classic kwenye tabia flaniflani, wadada wa kichagga ni kiboko. Ikitaka mashepu ya kibantu yapo machame, ukitaka wazuri wa sura wapo marangu, Ukitaka wapole wa tabia wapo tarakea na usseri (rombo), ukitaka wachakarikaji ni wachagga wote lakini hasa mashati (rombo), ukitaka sauti za kubembeleza nenda uru au mkuu (ila uwe makini manake hazireflect upole), ukitaka vichwa madarasani na maishani nemda rombo marangu ukitaka weupe, warembo, n.k ila kama humaindi miguu, wachaga ni saiz yako.
Lakini; Wachagga (wadada) hawajui mapenzi. Wadau wengi wanasema wadada wa kichaga ni malembukeni kwenye mapenzi, ni waoga, ukiwa nao chumbani utadhani unaamrisha kikosi jeshini, sio wabunifu wa vionjo vya mapenzi... Yani unaweza kuingia chumbani na mwanamke mchaga kwa lengo la malavidavi, gafla anaanza kukuambia "yani aisee haya mashuka yalivyo mazuri ungeyatembeza kule kibosho kuuza utapata hela, yani mamdogo manka ametajirika hivi hivi kwa hii biashara"....
Wadada wa kichaga, badilikeni banaa.. sio fresh.
Alinishika mikono nikamwambia salama.....
Akanishika ........ nikamwambia acha ashike ma-uchafu.....
Akanishika............
Aliponishika hoteli ya mtoto, NIKAMRABUA.......
hapa sijaelewa unamaanisha nini hata kidogo
hapa sijaelewa unamaanisha nini hata kidogo
mi mnyaluuu.....
FL1,
Hii ni story moja maarufu ya dada wa Kichaga aliyekuwa akielezea kituko kilichomkuta alipoingizwa chumbaji kwa kijana. Kijana kufika ndani akaana kalufundi kake na kwanza akamshika mikono, bibie akamwambia salama. Baadaye akamshika makalio, bibie akasema acha ashike ma-uchafu. Akashikwa ...... bibie akasema ......... na mwisho akamshika "hoteli ya mtoto" yaani matiti, bibie ndiyo akachukia na kumrabua yaani "akamlamba kibao kijana wa watu".
Ukimpata Mpare anayeifahamu, basi utacheka hadi uvunjike mbavu. Shemeji BHT naona anaifahamu hii story.
Mengine siandiki kwa sababu ni ya kikubwa na au siyakumbki.
Baeelezee mamushka watakosa vitu vizuri kwa kufuata stori!! :target:mchaga huyo eeeeh ankuburuza kweli kweli shauri yao ambao bado wana mawazo ya 19 forty kweusi!!
Baeelezee mamushka watakosa vitu vizuri kwa kufuata stori!! :target:
Hapa nilipo najaribu kumpiga picha kichwani mwangu kavaa skinny jeans na stilleto heels huku begani kabeba purse yake sijui ya Louis Vuitton au Louis Stewart....aaah acha bana
Wanawake wa kichagga wakati wa mchezo utwasikia wakisema...
Uwii kiuno changu kigumu, kingekuwa laini ningekuikia leo
Alinishika mikono nikamwambia salama.....
Akanishika ........ nikamwambia acha ashike ma-uchafu.....
Akanishika............
Aliponishika hoteli ya mtoto, NIKAMRABUA.......