FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
haipo aisee.. Naona panya wametafuna.
Kuna ka button hapa kameandikwa pc mode, ngoja nikaingie huko nitafute pa kuku-pm, nikipapata usishtuke!
haipo aisee.. Naona panya wametafuna.
Kuna ka button hapa kameandikwa pc mode, ngoja nikaingie huko nitafute pa kuku-pm, nikipapata usishtuke!
ha ha ha!
Sijui tuondoke wote.
Miss Youhaya wadada wa JF tumjazie masenksi huyu kaka kama KOKUDO afurahii....:wink2:
Huogopi kugongwa na Mchungaji? Hahahahaha
..................???
We usiongee kabisaa hahaha! ,hujambo lakini ?Dah! Kama mimi mgumu kweli. Naombeni dawa, nahisi haka ni kaugonjwa.
Yaani nimecheka mpaka basi masa una vituko weye.Nilikuja kwa kasi neno Kugonga lina maana nyingi! Kwa herini
Huogopi kugongwa na Mchungaji? Hahahahaha
Mambo ya abiria chunga mzigo wako nini,hope all is well super dearest...................???
Si ulikataa mwenyewe kuja kutibiwa.lol, sijambo. ngoja mwenzio nitubu hii dhambi.
Hauna dawa lakini?
lol, sijambo. ngoja mwenzio nitubu hii dhambi.We usiongee kabisaa hahaha! ,hujambo lakini ?
Si ulikataa mwenyewe kuja kutibiwa.
kugongwa na chombo au na kiungo?
Mama mchungaji nina maana kugongwa kwa "thanks"
Mambo ya abiria chunga mzigo wako nini,hope all is well super dearest.
Unataka niachwe wewe! inaelekea unapenda kugongwa eeeeeehhhh thanks
Mi mzima hofu na mashaka......Mzigo wenyewe ungekua unachungika basi!!Mi napumua dearest...nijuze hali yako!
Kesho asubuhi uje na kuku wa bluu na sharubu za simba utibiwe sawa ?sijakataa bwana. Nisaidie mwenzio.