Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
Kwema wana JF,
Leo sina maneno mengi ila nipo hapa kuwaasa mabaharia wenzangu kuwa wanawake wengi wa JF ni butu sana na wanapiga mizinga vibaya mno.
Ndugu ukitongoza mwanamke wa JF anakuvuta taratibu na akiona kama umeshaiva mithili ya nyama choma utasikia nashida ya shilingi 3000, 5000, 7000 au shilingi 10000 umsaidie anakurudishia muda sio mrefu.
Ewe mwanaume ukijichanganya hakuna rangi utaacha kuona na hakuna mziki utapigwa uache kuucheza.
Tahadhari wale penda penda kama mimi na wale baharia wenzangu tusiochagua mahali pakuogelea nawaombeni sana muwe makini mno.
Wanawake wa JF hizi salamu pia ziwafikie na muache kutuona wajinga na PM hatutaacha kuja ila mjue wazi kabisa tuna akili na sasa hivi hakuna mwanaume mjinga mjinga wote tumekua wajanja sana.
Hiyo mbinu yenu ya kujifanya mnatupenda na kutujali tumeijua.
Leo sina maneno mengi ila nipo hapa kuwaasa mabaharia wenzangu kuwa wanawake wengi wa JF ni butu sana na wanapiga mizinga vibaya mno.
Ndugu ukitongoza mwanamke wa JF anakuvuta taratibu na akiona kama umeshaiva mithili ya nyama choma utasikia nashida ya shilingi 3000, 5000, 7000 au shilingi 10000 umsaidie anakurudishia muda sio mrefu.
Ewe mwanaume ukijichanganya hakuna rangi utaacha kuona na hakuna mziki utapigwa uache kuucheza.
Tahadhari wale penda penda kama mimi na wale baharia wenzangu tusiochagua mahali pakuogelea nawaombeni sana muwe makini mno.
Wanawake wa JF hizi salamu pia ziwafikie na muache kutuona wajinga na PM hatutaacha kuja ila mjue wazi kabisa tuna akili na sasa hivi hakuna mwanaume mjinga mjinga wote tumekua wajanja sana.
Hiyo mbinu yenu ya kujifanya mnatupenda na kutujali tumeijua.