Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Tupeni a break jamanii what da' hell is this??!lol mngejua wengine hawana interest na hizi ndoa msinge tusimanga namna hii,..wengine wanawachukulia "man" kama viburudisho tuu and nothing more..aalaah!!!
 
Umenena vema Kabisa mleta mada! Ila sasa umetoa Siri upande wa pili huoni kuwa wakijua hivyo wataanza ku pretend? Hiyo ilipaswa kuwa Siri ya Moyoni mwa mwanaume mwenyewe ! Hayo ya jandoni huwa hayatolewi upenuni ! Infact siyo hilo tu hata kwenye swala la kujipodoa kupita kiasi pia wanaume wengine huchukulia kana kwamba ni binti fake! Uzoefu unaonesha kuwa wanaume wengi natural and respectful lady
 
Umenena vema Kabisa mleta mada! Ila sasa umetoa Siri upande wa pili huoni kuwa wakijua hivyo wataanza ku pretend? Hiyo ilipaswa kuwa Siri ya Moyoni mwa mwanaume mwenyewe ! Hayo ya jandoni huwa hayatolewi upenuni ! Infact siyo hilo tu hata kwenye swala la kujipodoa kupita kiasi pia wanaume wengine huchukulia kana kwamba ni binti fake! Uzoefu unaonesha kuwa wanaume wengi natural and respectful lady
duh wanaume wabaya sana
 
acha ushamba mtoa mada kitandanj ndo mpango mzima wewe unataka uoe gogo ili ukumbuke michepuko yako?
 
Ebu nisamaraizi kwa niliyoyaona humu MMU
1. Hawataki mwanamke mweusi
2. Hawataki mwanamke asie na chura sijui ndo msambwanda
3. Hawataki msomi
4. Hawatati magogo 6*6
5. Hawataki mafundi 6*6

[emoji23][emoji23][emoji23] haya machache nnayoyakumbuka!
Sasa mie nna 4/5, ntakufa peke yangu kwa kweli
subiria wakwako hajazaliwa,ndo anaumbwa,
 
Ila wanaume Mungu anawaona!!!
Mdada unajituma kujibinua mpaka unakisikia kiuno kinavyolalamika ila lenyewe liko nyuma linakubonyeza zaidi kiunoni!!! Alafu akitoka hapo anaenda kuoa gogo! [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa,unaweza vunja kiuno ukidhani unaweza kufikiriwa kumbe wala
 
Back
Top Bottom