Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Mbona unawasemea wanaume wote mi sipendi mwanamke wa kunipa kazi nataka mtu anayejiongeza
 
Nasikia Siku hizi kuna baadhi ya wadada huthubutu kufanya ushirikina ili kumganda mwanaume amuoe! Buyer be ware! Mimi huwa nawashauri vijana wa kiume hasa wanaofanya kazi zenye mishahara ile ya afadhali kidogo , dem wako akijua atakuganda Kama Luba mpaka basi wengine hata kufanya ushirikina ! Binti ambae ni pure and innocent hawezi kuyafanya hayo Kabisa kwanza anazani Kwa kufanya hivyo ataonekana mhuni!
 
Rafiki wale siyo wazuri hata kidogo,naogopa wataniibia dada yangu wa hiari!!........Dada yangu wa hiari nampenda na nina wivu nae sana,sitaki mtu amguse!!
Mmh mbona umechelewa anae mtu kule rafiki
 
Back
Top Bottom