Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Usije ukawapotosha watu, kila mwanaume kuna kitu anapenda na usifikir kuolewa had uwe vizur kwenye bed, kuna vigezo ving ikiwepo tabia, na kwenye bed ata kama hajui atamfundisha ,so unataka kusema MTU usiinjoy penz kisa utaulizwa ulijulia wap haya na umejifunzia wap, wakat kwenye mitandao kuna stail kibao za kujifunza, makabila mengine akivunja ungo anafundishwa namna yakumridhisha mume kwa bed nakumtunza nakujitunza yy, mwanaume mwingine ukiwa slow kwa bed hawez kuvumilia na hatokuambia, mahusiano au kuolewa hakuna formula, formula ni umempata mwanaume yup na anataka nn kwako, na mmepanga nn juu ya mahusiano yenu
Nawe nae kumbe ni walewale tu,
HAUOLEWI NG'O
 
Ndugu mtoa mada, kuolewa mbona kunawekewa masharti mengi hivi..kila wiki humu mmu mara thread hii mnasema mwanamke ukitaka uolewe fanya hivi mara fanya vile kwani kuolewa imekuwa kama masharti ya kutoka kwa mganga jamani
Hahahahahahahhahahahaha.... Umenifurahisha
 
Kweli kabisaaa. Huyo Mwenye shoo ya kibabe ni vizuri kumtumia kama mchepuko tuu.
 
Asilimia kubwa iko hivyo ila kwangu ni tofauti mkuu!!! Napenda kujifunza vitu vipya na najifunza mwenyewe kupitia youtube na websites tofauti... Yaani bj nilijifunza mwenyewe na nilipopata boyfriend nikamuomba nijaribishe!!! Alipenda mpaka hakuamini kama sijawai mfanyia mwanaume mwingine kabla!
Yaani ata mautundu mengine bado naendelea kujifunza sasaivi ata kama siko na mtu wa kumfanyia majaribio.
Bj mean what
 
Ivi ndoa ni ajira au???? Iyo misharti yenu inaniboa adi sio fresh! Unamwita mwenzio kahaba kisa anajua vitu flani, kwan we hujui??? Na ww tukuite nan? Ukimchunguza sana bata huwez kumla...no one iz perfect guyz so juc lets our editionz being limited! Above ol lets pray 4 our life partners.....maisha yanachange pia watu wanaweza kubalika! Unaweza ukutafuta mshamba kama mm alafu akazingu afta ndoa au ukamuoa uyo unaemwita kahaba na akawa mke mwema tuu.....watch out
 
kwa kweli sipendi mbwembwe zipitilize
yaan wewe hujawahi kutana na mtu sku ya kwanza anatia njonjo mpaka una jiuliza, was she a porn actress before we met?
Nauliza tu hayo mawazo mnayatoa wapi?[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji85] [emoji85]
 
Ila kweli sisi wanaume kweli hatujui what we want, binafsi I had the same notion that mwanamke ukiwa mtundu sana hio inanipa mashaka na kusema huyu wa kuchezea sio kuoa. Why? I once had someone ambae nilianza nae akiwa BK so nilianza kumfundisha from kissing and all away down, sasa her BJ game was so poor in the beginning hata baada ya mda haikuwa good as nilivyozoea from others, same applies kwenye game. Alikuwa akiride ni ile up and down ( waliozea wananielewa) . Japo Ali jitahidi kuangalia ma video nn ila niligundua I was the specimen wa kujaribia so I didn't enjoy much. Conclusively nikagundua ukipata mwanamke mtundu, anae kamua show kweli, wale wanau kupa BJ mpaka wana gag( kooni) aisee ujue tu huyo kafanya sana mazoezi ya practical, msidanganywe na jando cjui, that shit isn't present anymore at this 21st century. Jando ya siku hizi ni experience
Hata kwenye kazi mwenye experience ya miaka mingi ndio hupewa nafas ya kazi. Shida yenu nn lkn?[emoji12]
 
Back
Top Bottom