Wadada tuwahurumie hawa wanaume

Wadada tuwahurumie hawa wanaume

Namkunda OG

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
827
Reaction score
1,049
Nilipokuwa na kazi nzuri nilimtimizia mahitaji yote,

Lakini sasa kazi nimefukuzwa mpenzi hanitaki tena,

Nilipata mgeni mmoja akanidanganya ni kaka yake,tena nilimkaribisha na nyumbani kwangu akalala, akala msosi wa nguvu pombe kibao nazo akanywa,

Akanipa salamu nyingi kutoka nyumbani kwa wazee ,

Pia akalalamika et kwanini siendi kusalimu wazee

Nilimpa heshima zote nikijua ni shemeji yangu ,

Kumbe alikuwa ni.................................!

Ebu malizia kama unaikumbuka hii song

Yamemkuta jirani yangu kama haya hivi leo
Pole jirani. [emoji116]
GBWA-20190512115625.jpeg
 
Msituhurumie endeleeni hivyo hivyo.

Unaoaje mwanamke usiyejua kwao ni wangapi na ni nani na nani?

Huyo ndiyo mwanzisha uzi ??
 
I
Nilipokuwa na kazi nzuri nilimtimizia mahitaji yote,

Lakini sasa kazi nimefukuzwa mpenzi hanitaki tena,

Nilipata mgeni mmoja akanidanganya ni kaka yake,tena nilimkaribisha na nyumbani kwangu akalala, akala msosi wa nguvu pombe kibao nazo akanywa,

Akanipa salamu nyingi kutoka nyumbani kwa wazee ,

Pia akalalamika et kwanini siendi kusalimu wazee

Nilimpa heshima zote nikijua ni shemeji yangu ,

Kumbe alikuwa ni.................................!

Ebu malizia kama unaikumbuka hii song

Yamemkuta jirani yangu kama haya hivi leo
Pole jirani. [emoji116]View attachment 1187635
Si kutuonea huruma, ni kuwa na upendo wa dhati zid yetu. Kama hakuna upendo, huruma ni rahisi kukosekana. Sawa mama yangu (cz of the name Namkunda)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom