Obamamtoto
Senior Member
- Oct 23, 2012
- 130
- 179
...Nokia ya Tochi hiyo,..vipi Nokia mbona unaguna
..Fafanua zaidi mkuu,..kunakitu umekificha hapo,..Mimi tuahidiana kioana tukazaa na mtoto , akaja kuishi kwangu kisa tumezaa alipo nizoea akaonesha makucha yake nilipo gundua tabia zake nikamwambia ndoa namimi basi akarudi kwao .
Malizia Leo kesho sitaingia jfNitamalizia kesho
Inahitaji mwanamke mwenye upeo wa hali ya juu sana kufikiria kwamba ataolewa wakati wa Mungu ukifika kwa sababu hata huo wakati wa MUNGU hajui unahitaji kanuni gani kuungoja.Vile vile simlaumu dada wala kaka anayelazimisha ndoa sababu watu hawajui nini hasa neno ndoa linamaanisha,ndoa ni zaidi ya taasisi,haihitaji tu kujipanga kiuchumi ila na kiakili pia.Shunie dada langu hebu uje upate Robertson moja
A mind that cover milions of milesHata mi nashangaa
Mwanaume anaetaka kukuoa utamjua mapemaaaaaa
Hanaga longolongo
Ndokwanza unakuta yeye ndo ana beg for the marriage
Hata mi nashangaa
Mwanaume anaetaka kukuoa utamjua mapemaaaaaa
Hanaga longolongo
Ndokwanza unakuta yeye ndo ana beg for the marriage
hahaha ndo nimeibuka baada ya.mkuu kunikingia kifua mish you
Aisee kuja na wewe upate WineInahitaji mwanamke mwenye upeo wa hali ya juu sana kufikiria kwamba ataolewa wakati wa Mungu ukifika kwa sababu hata huo wakati wa MUNGU hajui unahitaji kanuni gani kuungoja.Vile vile simlaumu dada wala kaka anayelazimisha ndoa sababu watu hawajui nini hasa neno ndoa linamaanisha,ndoa ni zaidi ya taasisi,haihitaji tu kujipanga kiuchumi ila na kiakili pia.
yaani huwa sipendi ndoa inakuaje kwani ananipangia mimi lini ntamuoa jamani. sometime inaboa na inakata stimu ya mahusiano. usikute hujapendwa ila umependwa umtolee mwenzako mikosi au anataka kusafisha nyota kuwa aliolewa.Na ukipata mimba si ticket ya ndoa .. muhimu fanya yanayokuhusu basi
miezi mitatu mara nyingimpk ugomvi kuna nn hapo anaekuja kuolewa n mwingine tena usikute ata miezi 6 hawatafikisha kwenye mahusiano
ni baadi ya wadada hawaelewi tuyaani huwa sipendi ndoa inakuaje kwani ananipangia mimi lini ntamuoa jamani. sometime inaboa na inakata stimu ya mahusiano. usikute hujapendwa ila umependwa umtolee mwenzako mikosi au anataka kusafisha nyota kuwa aliolewa.
npio kweye mazoezi ya keggle kufanya iwe ndogo ndiyo niiletewengine ukijishikisha mimba unazaa na anakubakisha singo madha.. vipi sasa mbona hujanitafuta? mpunga wako upo... nakungoja si unajua nnavyopenda kavu kavu na kulamba lamba
kama anakupenda atakuambia utadeka kisa mdogo na 7bu zako labda unao wengi unachuja au inamtumia kama starehe sasa ngoja ije ifike wewe mtu umetongozwa leo tu kesho unaulizia umeoa kama bado una mpango gani.Ndoa za kulazimishana hazina maisha marefu!!!
Cha ajabu ata wakaka wanalazimisha kuoa. Utampa kila sababu ya kutotaka akuoe lakini wapi!!!
Kuna sababu nyingi sana za kukataa kuolewa na mtu! Na zingine ni sababu nzuri tu na muhimukama anakupenda atakuambia utadeka kisa mdogo na 7bu zako labda unao wengi unachuja au inamtumia kama starehe sasa ngoja ije ifike wewe mtu umetongozwa leo tu kesho unaulizia umeoa kama bado una mpango gani.
Sometimes ni vizuri kukumbusha... Kuna kamsema kanasema...
If get free milk why buy the cow...
So sad!And that what costs us women!
Dawa ni kukaza tu