masandare
JF-Expert Member
- Mar 9, 2014
- 671
- 584
Yuko sahihi, kuna wenye mzunguko mfupi siku 21, mzunguko wa kawaida siku 28, na mzunguko mrefu siku 36( kama sijakosea)28 siyo 21
Yuko sahihi, kuna wenye mzunguko mfupi siku 21, mzunguko wa kawaida siku 28, na mzunguko mrefu siku 36( kama sijakosea)28 siyo 21
Ungechukua namba ili ajue namna ya kukurudishia sweta lako..
Ila wanaume wa dar mmezidi,yaani pamoja na joto lote la dar ila mnavaa masweta
Nije inbox?Nimekupenda bure
Tatizo la watu wa Dar wanadhani kila anayepost chochote Jf yuko dar.Sio dar mkuu, ni Arusha jana jioni. Sweta langu ameondoka nalo we unategemea nitalipatage hata namba sikuchukua
Wanaosema n ushamba Mungu awasaidieWanadai kutembea na khanga ni ushamba na uzwazwa....wakuja na Wa mikoani ndo wanabeba makhanga, wao Wa dar ni mwendo Wa kubeba handbag yenye pafyumu na lip shine tu.
Pole ni wadada Wa dar.
Wanasemaga n ushamba ..nakumbuka nilishawahi kuchekwa kisa nilikuwana kitenge kwenye pochiHivi mwanamke unatembeaje bila hata mtandio,hizo pochi za kazi gani
Hata kumpaishara tu amechafuka pia ni msaada tosha angejua mwenyew namna ya kujistiriWangemsaidia vipi wakati wenyewe hawana kanga? Au ulitaka wavue walizovaa? Ushauri wa kutembea na kanga si mbaya
kwa hiyo hii habari picha inahusiana vipi na huu uzi !??Au hao jamaa wawili na wao walisaidiwa kujistiri wakati walipokuwa wana bleed "!?Ubarikiwe sana Mkuu. Mambo ya dar View attachment 920469
Sio tu kuambiwa ,Bali nishajionea sana enzi za ujana wangu...during the then times (when I was juvenile).Ni kweli walishawahi kukuambia hivyo?
mama yako liked ur postWanawake ss ni waseng*** hatupendani hata sometimes i wish ningekuwa mwanaume aiseeee na ndio maana Mungu ametunyima baadhi ya vitu maana tungekuwa viumbe vikatili sana
Hahahahaaa njo tubadirishaneWanawake ss ni waseng*** hatupendani hata sometimes i wish ningekuwa mwanaume aiseeee na ndio maana Mungu ametunyima baadhi ya vitu maana tungekuwa viumbe vikatili sana
Kilicho tokea leo nimeshindwa kuwaelewa kabisa hawa wamama wameshidwa kabisa kumsaidia mwanamke mwenzao??
Leo nilikua nimepanda daladala nimekaa siti ya mwisho kabisa kulikua na wadada wa 2, mama mtu mzima mjoja na mm jumla wa 4' mbele yetu alikua amekaa mdada age kama 19-22,
Tulivyofika mwisho wa daladala kutokana sijui ni hizi bamnsi za barabaran huyo mdada alifikwa na menstruation period yeye mwenyewe bila kujua wakati tunajiandaa kushuka dha' wote tuliokaa siti ya nyuma yake tuliona ile hali, sasa baada ya kuona ile nikasubiri ili mm nishuke wa mwisho nikijua wale wamama watatu watamsaidia cha ajabu nilishangaa watu badala ya kumsaidia wanacheka chini chini wakati wanasuka kwenye daladala, aise nimeshangaa sana sikuamini hata...
Nikawaza chap chap ili kumfanya asije akaaibika nilikua nimebeba sweta langu mkononi nikalimpa ajifunge kumlindia heshima tu, Ameniangalia kwa aibu nilivyo mpa lile sweta ajifuge..
Aisee nimeshangaa leo kuona mwanawake wamemuacha mwanamke mwenzao bila msaada, lakini pia nyie wadada mnapotembea bebeni basi hata kanga au kitenge cha dharula sweta langu nilinunua elf 18 ameshachukua