Wadada 'smart' mna gharama sana

Wadada 'smart' mna gharama sana

Umemaliza yote dia labda niseme tu wacha nizeekee tu nyumbani na vile sikosi viji laki laki vyangu akuuuuu! Asipopatikana anaejuwa kujipendezesha na kunijali na mimi wacha nibaki mwenyewe so long as naweza jipendezesha mwenyewe.

Mtu hajui napendeza vipi ati anataka vya mteremko? Kazi kunisifia nimependeza wakati hajachangia hata mia? Nooo wacha nibaki mwenyewe.bora uzima.
Nendeni Dubai kwa matajiri ndio wanajua kuhudumia
 
Wadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.

Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.

Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k

Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu
Neno smart haliusu hapo hao ni changudoa wa level furani, ya kati, au chini siyo smart kama unavyosema. Wanawake ambao ni smart huwa Wana elimu nzuri,kazi nzuri, mizinga yao unapeleka mwenyewe, siyo akuombe, wengi wao hawezi kuomba pesa ya nguo wigi, nauri, pango. Wao ni mwendo wa nyumba, gari nzuri ya kutembelea na mitaji ya biashara zao Kama mke mpya wa mzee Mrema alivyokuwa anatamba ana biashara zake kubwa kubwa kumbe mzee ilikuwa nyumba ndogo miaka mingi sana, mzee alikuwa anatoa fungu kubwa la kuanzisha biashara kwa nyumba ndogo. Mke wa marehemu mzee mengi etc hao ndo smart. Hao wa wigi, nauri, pango la nyumba, chakula, mjomba anaumwa, shangazi anaumwa etc hao ni wachumia tumbo. Wengi wanatumika kingono zaidi kwa sababu ya maumbo yao ya kuvutia basi, wengi hawako smart especially wa matako makubwa sana kichwani huwa zero kabisa 💯.
 
Wadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.

Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.

Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k

Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu
Kuna mawili wewe ni "either" mpumbavu au huna akili.......unashindwaje kuelewa maana ya neno "smart"........hadi kulifananisha na hulka za wanawake wanaojiuza?
 
Umemaliza yote dia labda niseme tu wacha nizeekee tu nyumbani na vile sikosi viji laki laki vyangu akuuuuu! Asipopatikana anaejuwa kujipendezesha na kunijali na mimi wacha nibaki mwenyewe so long as naweza jipendezesha mwenyewe.

Mtu hajui napendeza vipi ati anataka vya mteremko? Kazi kunisifia nimependeza wakati hajachangia hata mia? Nooo wacha nibaki mwenyewe.bora uzima.
Utazeeka Ukiwa hapo hapo kwa hiyo mentality
 
Wadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.

Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.

Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k

Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu
Unamaanisha smart kichwani au inya mkuu?
 
Wadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.

Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.

Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k

Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu
Bila shaka unazungumzia usmart wa mwili sio usmart wa akili kwani ni vitu viwili tofauti.
 
Kila mbuzi ale usawa wa kamba yake...
Mwanaume mwenyewe wa siku hizi ukijigeuza kikoba kila siku mahitaji mapya anakukimbia kweupeeee
Yani wanaume wa siku hizi wanapenda upendeze kwa gharama zako yeye akija anafaidi utamu tuu asiojua umependezaje...
Bora nibaki na utamu wangu asee
Raha ya mwanaume uhudumie mwanamke wako apendeze hata akiwa ametangulia unajiskia ufaharii
Kuna kuhudumia na kukomoa.
 
Wadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.

Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.

Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k

Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu
Mzee wee njoo tugegede malaya mbona gharama nafuu kabisa 50 tuu unakula hadi tope
 
Back
Top Bottom