Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,812
- 61,494
- Thread starter
- #81
Kweli kutafuta pesa ni muhimuTafuta pesa ule vinono
Kweli kutafuta pesa ni muhimuTafuta pesa ule vinono
😄😄😄😄Tulia na huyo uliyenae unawataka masmart wote wa nn
Huwa wanalipiwa mpaka bill za kuzunguka ulimwengu mkuuMi nikajua usmart wa kichwani? 😄😄
Hao ni vichwa maji tu acha kudhalilisha neno smart
Kweli mkuu, inabidi kula kwa urefu wa kambaTafuta tuu unaeendana nae uishi humo
Hao wengine waachie wengine…
Ni kweli mwisho wa siku mafanikio yao ni kupost picha insta za hotel kubwa kubwaHuwa wanalipiwa mpaka bill za kuzunguka ulimwengu mkuu
Tunashukuru kwa kutusemea[emoji2308][emoji2308],kunywa pepsi ujipongezeNdio ndio, hawanaga gharama ila ndo wana nata hatari km hawanyi vile[emoji41][emoji41]
Nendeni Dubai kwa matajiri ndio wanajua kuhudumiaUmemaliza yote dia labda niseme tu wacha nizeekee tu nyumbani na vile sikosi viji laki laki vyangu akuuuuu! Asipopatikana anaejuwa kujipendezesha na kunijali na mimi wacha nibaki mwenyewe so long as naweza jipendezesha mwenyewe.
Mtu hajui napendeza vipi ati anataka vya mteremko? Kazi kunisifia nimependeza wakati hajachangia hata mia? Nooo wacha nibaki mwenyewe.bora uzima.
Neno smart haliusu hapo hao ni changudoa wa level furani, ya kati, au chini siyo smart kama unavyosema. Wanawake ambao ni smart huwa Wana elimu nzuri,kazi nzuri, mizinga yao unapeleka mwenyewe, siyo akuombe, wengi wao hawezi kuomba pesa ya nguo wigi, nauri, pango. Wao ni mwendo wa nyumba, gari nzuri ya kutembelea na mitaji ya biashara zao Kama mke mpya wa mzee Mrema alivyokuwa anatamba ana biashara zake kubwa kubwa kumbe mzee ilikuwa nyumba ndogo miaka mingi sana, mzee alikuwa anatoa fungu kubwa la kuanzisha biashara kwa nyumba ndogo. Mke wa marehemu mzee mengi etc hao ndo smart. Hao wa wigi, nauri, pango la nyumba, chakula, mjomba anaumwa, shangazi anaumwa etc hao ni wachumia tumbo. Wengi wanatumika kingono zaidi kwa sababu ya maumbo yao ya kuvutia basi, wengi hawako smart especially wa matako makubwa sana kichwani huwa zero kabisa 💯.Wadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.
Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.
Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k
Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu
Kuna mawili wewe ni "either" mpumbavu au huna akili.......unashindwaje kuelewa maana ya neno "smart"........hadi kulifananisha na hulka za wanawake wanaojiuza?Wadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.
Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.
Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k
Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu
Utazeeka Ukiwa hapo hapo kwa hiyo mentalityUmemaliza yote dia labda niseme tu wacha nizeekee tu nyumbani na vile sikosi viji laki laki vyangu akuuuuu! Asipopatikana anaejuwa kujipendezesha na kunijali na mimi wacha nibaki mwenyewe so long as naweza jipendezesha mwenyewe.
Mtu hajui napendeza vipi ati anataka vya mteremko? Kazi kunisifia nimependeza wakati hajachangia hata mia? Nooo wacha nibaki mwenyewe.bora uzima.
Ni kweli anatudhalilisha, wanawake smart tunalipa bili zetu wenyeweYou nailed it well 👌
Huyo anauziwa bidhaa ambayo haondoki nayoUnatembea na wafanya biashara alafu unawaita Smart
Basi Kaa ukija, Kuna wahuni wanawapiga bila bila !!!
Unamaanisha smart kichwani au inya mkuu?Wadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.
Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.
Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k
Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu
Asante kwa kumfafanulia, content haisadifu heading.Umedhalilisha neno smart,, hizo sifa sio za mwanamke smart ila Ni sistaduu ama slay queens
Bila shaka unazungumzia usmart wa mwili sio usmart wa akili kwani ni vitu viwili tofauti.Wadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.
Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.
Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k
Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu
Umefunga uzi mkuuUmedhalilisha neno smart,, hizo sifa sio za mwanamke smart ila Ni sistaduu ama slay queens
Kuna kuhudumia na kukomoa.Kila mbuzi ale usawa wa kamba yake...
Mwanaume mwenyewe wa siku hizi ukijigeuza kikoba kila siku mahitaji mapya anakukimbia kweupeeee
Yani wanaume wa siku hizi wanapenda upendeze kwa gharama zako yeye akija anafaidi utamu tuu asiojua umependezaje...
Bora nibaki na utamu wangu asee
Raha ya mwanaume uhudumie mwanamke wako apendeze hata akiwa ametangulia unajiskia ufaharii
Mzee wee njoo tugegede malaya mbona gharama nafuu kabisa 50 tuu unakula hadi topeWadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.
Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.
Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k
Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu