Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
basi pambana.Mkuu tunapenda vitu vizuri, vinavutia sana
Usione vinang'aa...
basi pambana.Mkuu tunapenda vitu vizuri, vinavutia sana
Ndio hivyo mkuu, unakula na kuondoka tu; hakuna kuweka makazi ya kudumuAnakudanga huyoo....so nenda nae kwa style hiyo km umemkubali kweli kubali kutobokaaa
Wanatakiwa wawe kwa 'short term'basi pambana.
Usione vinang'aa...
Kweli mambo ya 'brand' ndio yanayotuumiza mkuuTafuta wa size yako mbona simple tu, wewe mtu mmetongozana Insta baada ya kufuatilia picha zake kila siku kwa mwezi mzima na kila siku picha mpya na nguo mpya, sasa wewe ukijiingiza hapo unataka kumlilia nani?
Au hujui kuna binadamu wanajiita wao ni brand?
Wewe kama bado unatafuta basi weka mambo ya wanawake pembeni au tafuta wanafunzi ndo huwa hawana gharama...chips yai tu ashasahau.Tatizo mnatufanya tunakuwa masikini
Nakubaliana na hoja yakoWewe kama bado unatafuta basi weka mambo ya wanawake pembeni au tafuta wanafunzi ndo huwa hawana gharama...chips yai tu ashasahau.
Hata kama mwanamke hakuombi hata Mia ila kama hutamjali kwa chochote basi heshima yako itapungua mnoo mbele yake.
Hivi wewe unajiingiza kwenye shida kama hizi unategemea nini?Kweli mambo ya 'brand' ndio yanayotuumiza mkuu
Inabidi kujiandaa kisaikolojia kabla ya kuingiaHivi wewe unajiingiza kwenye shida kama hizi unategemea nini?
View attachment 2206352
View attachment 2206363
View attachment 2206364
View attachment 2206365
Hao wa level za kwenda DubaiWadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.
Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.
Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k
Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu
😂😂😂 wengine mizinga mikubwa hatariDemu mpiga mizinga akikuacha, na sawa na umemaliza mkopo wa benk.
Usipokuwa makini, utakuwa unatumikishwa tuHao wa level za kwenda Dubai
Fanya kwa uwezo wako mkuu wakitaka zaidi Dubai kuna matajiri wana pesa za bure tena ni nyingi sanaUsipokuwa makini, utakuwa unatumikishwa tu
WanajiaminiKwa nini wanakuwa hivyo
Ana miaka mingapi kwanza...Ndio hivyo mkuu, unakula na kuondoka tu; hakuna kuweka makazi ya kudumu
Ndio hao wanawanyea mdomoni kisha wanawalipaFanya kwa uwezo wako mkuu wakitaka zaidi Dubai kuna matajiri wana pesa za bure tena ni nyingi sana
Kuna picha niliona, huko huko dubai nadhani. Kama ni utafutaji basi nawapa pongezi, udhalilishwaji wa namna ile kwa binadamu anayejiewa ni msiba mkubwa sana.. sikutamani kuangalia mara ya pili.Fanya kwa uwezo wako mkuu wakitaka zaidi Dubai kuna matajiri wana pesa za bure tena ni nyingi sana
Wanataka kwa pupa na haraka ili waweze kutambianaNdio hao wanawanyea mdomoni kisha wanawalipa
😂😂😂 ndio maua ya dunia mkuuTumeumbiwa wanawake kiongozi usiogope kutoboka