Wadada 'smart' mna gharama sana

Tafuta wa size yako mbona simple tu, wewe mtu mmetongozana Insta baada ya kufuatilia picha zake kila siku kwa mwezi mzima na kila siku picha mpya na nguo mpya, sasa wewe ukijiingiza hapo unataka kumlilia nani?

Au hujui kuna binadamu wanajiita wao ni brand?
Kweli mambo ya 'brand' ndio yanayotuumiza mkuu
 
Wewe kama bado unatafuta basi weka mambo ya wanawake pembeni au tafuta wanafunzi ndo huwa hawana gharama...chips yai tu ashasahau.
Hata kama mwanamke hakuombi hata Mia ila kama hutamjali kwa chochote basi heshima yako itapungua mnoo mbele yake.
Nakubaliana na hoja yako
 
Kweli mambo ya 'brand' ndio yanayotuumiza mkuu
Hivi wewe unajiingiza kwenye shida kama hizi unategemea nini?

20211217142310.jpg


FB_IMG_1633251538757.jpg


JamiiForums189533161.jpeg


IMG-20220408-WA0003.jpg
 
Wadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.

Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.

Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k

Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu
Hao wa level za kwenda Dubai
 
Fanya kwa uwezo wako mkuu wakitaka zaidi Dubai kuna matajiri wana pesa za bure tena ni nyingi sana
Kuna picha niliona, huko huko dubai nadhani. Kama ni utafutaji basi nawapa pongezi, udhalilishwaji wa namna ile kwa binadamu anayejiewa ni msiba mkubwa sana.. sikutamani kuangalia mara ya pili.
 
Back
Top Bottom