Wadada 'smart' mna gharama sana

Sijui kwako mimi kwa mazingira niliyo ambayo yame nikuza, kuna kikundi fulani ya mabrothers zangu wa mtaa, wapo kama kumi hivi walikuwa na timu yao ya basketball.

Jamaa walikuwa malaya, wanagonga mademu wakali mpaka wanaingia chuoni, jamaa wanabadilisha visu vya hatari. Sasa hivi wote wana familia zao 80% wameoa wanawake wa kawaida. So kutokana na maisha yao kuna kitu kikubwa nimejifunza sana, halafu wale mademu waliokuwa wakitembea nao zamani naweza ikasema kwa sasa wengi ni single mother, kwani kipindi hiko sisi ndio tuliokuwa tukitumwaga viepe.

Ila husini quote vibaya sijasema wanawake wenye husmart wa mwili hawanaga akili, ila mara nyingi mademu ambao wenye usmart wa mwili hawafai kufanya nao maisha. Ila kama umeamua sawa chaguo ni lako na maisha ni yako.
Ni kweli, ukisema uanze nao maisha huwa wanasumbua sana, watakupa presha kwa sababu wengi wanakuwa wanawatamani.
 
Ulishawahi kukutana na kifaa, ukahisi labda ameshushwa toka mbinguni?
Kwa standard yako, wengine sijui unasemea vifaa gani hapa duniani, kama una pesa huwezi sema Kuna vifaa, Kama huna pesa ndo utaona vifaa maana huna jinsi. Siri moja nikwambiye Mwanamuke utamwona kifaa Kama hujamula,ukishaweka dude lako na kumaliza hutaona ukifaa wake. Yote ni yale yale tu tofauti ni unene,wembamba,usafi, urefu etc. Tafuta hela uwe nayo mengi hayawezi kusumbua kichwa chako na macho yako tena. Pia yaone tu yameweka nguo juu na kupendeza lakini yakivua mengine unaweza kuwa hanithi hayavutii tena Kama hayana nguo. Mengine unayaona mazuri lakini ukiweka ni bwawa mpaka uvute hisia ukiwa umefumba macho umwaze mwajuma ndala mbovu wa temeke ndo umalize.
 
Kwa standard yako, wengine sijui unasemea vifaa gani hapa duniani, kama una pesa huwezi sema Kuna vifaa, Kama huna pesa ndo utaona vifaa maana huna jinsi. Siri moja nikwambiye Mwanamuke utamwona kifaa Kama hujamula,ukishaweka dude lako na kumaliza hutaona ukifaa wake. Yote ni yale yale tu tofauti ni unene,wembamba,usafi, urefu etc. Tafuta hela uwe nayo mengi hayawezi kusumbua kichwa chako na macho yako tena. Pia yaone tu yameweka nguo juu na kupendeza lakini yakivua mengine unaweza kuwa hanithi hayavutii tena Kama hayana nguo. Mengine unayaona mazuri lakini ukiweka ni bwawa mpaka uvute hisia ukiwa umefumba macho umwaze mwajuma ndala mbovu wa temeke ndo umalize.
Kweli yaani ndio wengi wetu wanaume tulivyo hata demu uwe kama rihana nikishamwaga sijui nakuonaje yaani
 
Halafu pia kuwa smart kwa mwanamke mwenye akili pia n vzur na mara nying hivo vtu kama kucha cjui mawigi yanakuaga sio mambo yetu na hata tukiyataka tunajifanyia wenyewe, hao wanaoomba hela za kucha n watt hawawaz kuhusu maisha na investments, anatengeneza muonekano ili azid kuvutia wengine, and that is indirect prostitution.
 
Wadada smart tunawapenda sana, na tunathibisha mna utamu wa kipekee; popote pale pongezi ziwafikie.

Changamoto kubwa mliyonayo; mnatutesa sana sisi wanaume; hela haikai, muda wote tunapokuwa na nyie, pesa huwa inateketea sana.

Mara wigi laki sita, hujakaa sawa nataka niende saluni kusafisha kucha, mara nimeona kisuruale pale, mara ile raba nimeipenda, mara nataka nikabadilishe mtindo wa nywele n.k

Kwa mazingira hayo; nyie hamfai kuolewa, tutakuwa tunawapa kampani ya kupelekeana moto tu
Mzee hakunaga smart wa hivyo hayo ni malunya lunya Kama malunya mengine.


Back on the days....nilikua na rafiki wa kike huyu Dada ni mwenyeji wa singida huko ni kisu hatare. Ila nilicho kua nashangaa alikua hadumishi Mila zao za kugegedwa hovyo yaani yeye alikua pesa mbele Kama demu wa kichaga Ila pesa ya kuitafuta kwa jasho lake.

Mwanzoni wakati naanza uhusiano nae wadau walikuja na kumpaka Sana matope kuwa demu ni Malaya kutokana na sababu abc. Nikasema sawa Ila Kama kawaida yangu anzi akijilengesha kwangu huwa namuacha yeye ndio aendeshe game (I play her role) Hadi nihakikishe amecheza na kuniachia nafasi ya kufunga tu. Basi ikawa hivyo.

Basi huyu Dada kumbe yeye alikua amekuja kwangu kwa sababu aliona mm nipo vizuri darasani hasa upande wa practicals zaidi. Na kweli nilikua vizuri Ila tatizo lilikua kubadilisha ujuzi nilio kuwa nao na kuufanya uwe pesa.

Basi huyu Dada akawa Kama marketing wangu yeye aliutumia uzuri wake kwenda kwenye maofisi ya watu na kuomba deals na kweli karibu ofisi zote alizo ingia alipata dili Basi akipata ananiletea Mimi nafanya na kumpa na kumuelekeza abc akielewa nae anaenda kufanya presentation.

Kiukweli tulitengeneza pesa tukiwa bado tupo chuo yaani boom la kwanza kukutana na boom la mwisho kwenye account ilikua kitu rahisi tu.

Na kweli mahusiano yetu yalikua kikazi zaidi kunyanduana ilikua Kama kachumbari tu yaani pale mmoja wetu anapo kuwa na nyege anamtuliza mwenzie ili tuweze fanya kazi. Nakumbuka maneno yake " jamaa mwenzio hapa navinyege hebu fanya kunitoa ili niwapandie huko nikiwa full and fresh" basi hapo namnyandua kimoja Cha muda mrefu anaenda kuoga na kutafuta madili .....na akipata tu dili simu zinaanzia hukohuko utasikia "we jamaa Kuna kazi ya kukaa wiki nzima Anza kujiandaa vipige burn videmu vyako vyote" Basi hapo tukijifungia hapo yeye kazi zake ni kuniletea msosi na kwenda mapindi na kula updates zote za class. Na akija geto ni kuhakikisha Ana sort ya class yote ili badae aje anifundishe tukichoka tunanyanduana tunalala.

Na siku atakayo saini cheque hizo vibe zinaanzia huko huko akifika geto mbususu Isha loana kabisa.

Na nashangaa niliishi nae kiivo bila kusumbuana Wala kuoneana wivu na kweli yule manzi alikua na akili Sana na hata ule umalaya walio kuwa wanamsema ni kwamba alikosa mtu wa kuivana nae . Yeye anapenda mapenzi ya faida sio ya kizembe . Hadi tunamaliza chuo Mimi ndio nilikua mwanaume wake wa mwisho na kwa tulivyo kua watu walijua tutaoana.

Kutokana na like alicho kua nacho alifanikiwa kukutana na mzungu na wakaoana miezi michache tu kabla ya kuhitimu na kwenda kuishi maleshia na kufika huko sijui imekuaje tumepoteza .

Naamini anaendelea salama huko aliko.

Na hii ndio ilikua slogan yetu

"Nyege ni adui wa maendeleo"
 
Kila mbuzi ale usawa wa kamba yake...
Mwanaume mwenyewe wa siku hizi ukijigeuza kikoba kila siku mahitaji mapya anakukimbia kweupeeee
Yani wanaume wa siku hizi wanapenda upendeze kwa gharama zako yeye akija anafaidi utamu tuu asiojua umependezaje...
Bora nibaki na utamu wangu asee
Raha ya mwanaume uhudumie mwanamke wako apendeze hata akiwa ametangulia unajiskia ufaharii
Mwanamke asie weza kujihudumia nahitaji yake mwenyewe ni mzigo na janga la taifa Kama korona.

Kwani utamu wako unanini Cha zaidi....?
 
Mwanamke asie weza kujihudumia nahitaji yake mwenyewe ni mzigo na janga la taifa Kama korona.

Kwani utamu wako unanini Cha zaidi....?
Hata kama anaweza kujihudumia cha mwanaume wangu (permanent) ni kitamu sana. Achen uchoyo
 
Halafu pia kuwa smart kwa mwanamke mwenye akili pia n vzur na mara nying hivo vtu kama kucha cjui mawigi yanakuaga sio mambo yetu na hata tukiyataka tunajifanyia wenyewe, hao wanaoomba hela za kucha n watt hawawaz kuhusu maisha na investments, anatengeneza muonekano ili azid kuvutia wengine, and that is indirect prostitution.
Una akili wewe
 
Back
Top Bottom