Wadada sasa yatosha...

Wadada sasa yatosha...

Bora mdada ambaye anapaka make up kuliko aliyejichubua....yani huwa namsikitikia sana mana ngozi si kitu cha kukifanyia majaribio.....ukiharibu ndo imekula kwako....
 
wengi wanaojichubua wanaamini rangi nyeupe ndiyo uzuri. huko ni kukosa kujiamini na kutokujikubali, na mwisho wake wengi huwa wanatisha kwa rangi za kulazimisha.
 
Afadhali... Afu sijui nani huyo aliewaloga kuwa wakiwa weupe ndio wanavutia!!!!!
Bora mdada ambaye anapaka make up kuliko aliyejichubua....yani huwa namsikitikia sana mana ngozi si kitu cha kukifanyia majaribio.....ukiharibu ndo imekula kwako....
 
Just be proud of yourslf,so mtu anakua na mabaka baka kama ya chui!
 
Hahahahahaha Hilo neno vimbwengo linanichekesha sana

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hahaha! Mkuu! Wewe vibwengo umeviona wapi??umeniamsha ujue.aagh wanawake waliojichubua wanafanana na kitimoto!!
 
Back
Top Bottom