Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Long time no see you Kitty.....
I miss you so!
Vizuri ikiwa mtabainisha kuwa ni Open relationship so no long faces in future.
mwanamke uwa amuachi mwanaume bana mwanaume ndo anamwacha mwanamke.
Are you serious???
What do you mean 'mambo yote yanaenda sawa'? ni mambo gani yanawaweka pamoja kama sio mapenzi? na akisha gawa penzi huko nje what is left? If you man material things I believe you can have your own, if you mean time spent together you can have that from friends and family. sasa hayo 'mambo yote' ni nini tena kama sio trust, respect, love and all the things he has just blown up kwa ku-cheat? Na hapa hatujasema vya magonjwa.serious russian. Kama ananicheat ila mambo yote yanaenda sawa ndani ya nyumba siwezi kumuacha.
serious russian. Kama ananicheat ila mambo yote yanaenda sawa ndani ya nyumba siwezi kumuacha.
Mie hapa nadhani watu wakishaingia huko kwenye ndoa au mahusiano ndo watajua nini kitawatoa ..
Mwingine atasema nikipigwa tu naondoka zangu lakini utakuta akiingia huku everyday ni kichapo na hatoki..akiamini iko siku bwana shemeji atabadilika..
Mie naangalia ..
Hebu ngoja nisome maoni ya wadada, kama maudhaifu yangu ni miongoni mwa wanaoweza kupigwa kibuti................
Huenda mama Ngina anasubiri niingie kwenye kumi na nane zake..........LOL
What do you mean 'mambo yote yanaenda sawa'? ni mambo gani yanawaweka pamoja kama sio mapenzi? na akisha gawa penzi huko nje what is left? If you man material things I believe you can have your own, if you mean time spent together you can have that from friends and family. sasa hayo 'mambo yote' ni nini tena kama sio trust, respect, love and all the things he has just blown up kwa ku-cheat? Na hapa hatujasema vya magonjwa.
Kwa bahati mbaya huu ndiyo mtazamo wa wanawake wengi! Mimi nimeshawahi kuulizwa "Ngabu utaacha wangapi kama kila anayekucheat utamuacha"? Tena niliulizwa hivyo na jimama kabisa.
Ila kwa vile mwisho wa siku ni uamuzi wa mtu, basi poa tuo.
mi naungana na hao wanawake.
Mie hapa nadhani watu wakishaingia huko kwenye ndoa au mahusiano ndo watajua nini kitawatoa ..
Mwingine atasema nikipigwa tu naondoka zangu lakini utakuta akiingia huku everyday ni kichapo na hatoki..akiamini iko siku bwana shemeji atabadilika..
Mie naangalia ..
Kiukweli wanaume wengi waliooa wanacheat tena sio kidogo. Wanawake washukuru tu kama wanachetiwa bila wao kujua.
Naujua sana mtazamo wako Mwajuma.
Koni vipi leo?
Hapa sasa ndipo unapokosea Mwajuma. Kuna idadi kubwa sana ya wanawake wanaocheat pia. Sema tu kwa vile dhana ya kwamba wanawake huwa hawacheat imeshajijenga kwenye fikra za watu wengi hivyo ni ngumu watu kujenga taswira ya mwanamke aliyeolewa kucheat.
Lakini ukweli wa mambo ni kwamba they cheat just as bad as men do.
-Mwanamme mwenye wivu kupita kiasi
-Mwanamme bakhili
-Mawanamme mwenye mawazo finyu yasiyo na maendeleo.