Hapa naungana na Sisy wangu Husninyo,
Siwezi kumwacha mme wangu nimpendae na anayenipenda kwa ajili ya mwanamke mwenzangu,never!!!!
Cha kufanya ni kutafuta chanzo au sababu ya yeye kuchiti na kulipatia soluton,
Lzm kuna sababu tu kwa sio tabia yake,na sitatatua tatizo kwa kufungasha mabegi,
Some time mie mwenyewe naweza kua chanzo cha tatizo,na km sio mm basi nitaongea naye tushirikiane kulimaliza,nikishindwa mwenyewe nitatafuta msaada kwa watu wetu wa karibu hasa anaowaheshimu yeye,ikishindikana nitaenda kwa viongozi wa kanisa wanisaidie na hapo itakuwa kesharukwa na akili kwan atakua ameshindwa hata kumsiliza mzazi wake aliyemzaa,na hapo tutatafuta namna ya kudeal na mgojwa na sio mwenzetu tena.
Nitaondoka kwa mume au nitamuacha siku atakayoniambia HANIPENDI TENA na hanihitaji maishani mwake,na matendo yake kweli yakadhihirisha hilo.