Wadada nisaidieni hapa.

Wadada nisaidieni hapa.

-Mwanamme mwenye wivu kupita kiasi
-Mwanamme bakhili
-Mawanamme mwenye mawazo finyu yasiyo na maendeleo.

We ni farasi mwanaume bahili we kuwa unampa hela au umekalili vyakupewa? Utapewa mpaka mgoma,ndio nyie nikitaka kuingiza tu mikelele kibao eti naumia na hela nikipe? Shwain
 
Mwanaume bahili anayependa kutumia za kwako za kwake zinamuuma anabana.
Mwanaume tozi anayependa kuishi maisha ya juu kuliko kipato chake. Kutwa ana madeni
Mwanaume anayeni abuse verbally or physically. Sipendi kufanywa kama mtoto wake wa miaka 2 anayeamua amfanye nini anavyopenda. Respect kwanza
 
We ni farasi mwanaume bahili we kuwa unampa hela au umekalili vyakupewa? Utapewa mpaka mgoma,ndio nyie nikitaka kuingiza tu mikelele kibao eti naumia na hela nikipe? Shwain
Huna hela, funga bakuli....mwanaupe chapaa, huna kaa kando. Maana wengine kwa ubakhili mpaka manakimbia majukumu yenu. Ngoswe!
 
Huna hela, funga bakuli....mwanaupe chapaa, huna kaa kando. Maana wengine kwa ubakhili mpaka manakimbia majukumu yenu. Ngoswe!

mi majuzi kuna mtu nimemuomba anitumie hela kwanza zimepita kama wiki mbili ndo katuma hiyo hela nlijua imechukua wiki 2 zote labda atatuma hela ya maana mweh eti katuma f10 afu anauliza et vipi inatoshaa?? hapo mpesa inatoka ngapi?? dogoz zangu tu zikinipiga mzinga natuma kuanzia 20!! kwakweli ananifanya nimkumbuke biligeti wangu wa melerani.
 
mi majuzi kuna mtu nimemuomba anitumie hela kwanza zimepita kama wiki mbili ndo katuma hiyo hela nlijua imechukua wiki 2 zote labda atatuma hela ya maana mweh eti katuma f10 afu anauliza et vipi inatoshaa?? hapo mpesa inatoka ngapi?? dogoz zangu tu zikinipiga mzinga natuma kuanzia 20!! kwakweli ananifanya nimkumbuke biligeti wangu wa melerani.
Anakuzeesha huyo na kuichakaza hiyo kitu bila thamani ya maana....lol
 
Mwanaume bahili anayependa kutumia za kwako za kwake zinamuuma anabana.
Mwanaume tozi anayependa kuishi maisha ya juu kuliko kipato chake. Kutwa ana madeni
Mwanaume anayeni abuse verbally or physically. Sipendi kufanywa kama mtoto wake wa miaka 2 anayeamua amfanye nini anavyopenda. Respect kwanza

Njoo tuoane.
 
Kila binadamu ana wema na ubaya wake katika kila jambo. Ni kama mtihani somo fulani unalimudu sana na jingine kiasi. Kuwa mwalimu wa maisha yako mwenyewe, jipime ujipe matokeo. Kama wema wa mumeo unazidi uovu, mvumilie, ila kama uovu ndio mwingi hakufai. Mwanamme anaekufanya ulie kila wakati huyo ni mume au bomu la machozi?
 
Back
Top Bottom