Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,134
Hahaha...weaving linakaa mwez lisiache kuwa ka fagio ya buibui??muwe mnatoa hela ya saluni angalau twice per month minimum
Sio nywele tu kucha,kope,ngozi hata Papuchi hakuna original!
unasema??
Halafu unaangalia na sura yako basi kitu gani kitakupendeza,wengine unakuta weaving limekaa kama fagio la buibui lakini yumo tu.
Charger taratibu mweeee lakin wanaume wanayapendaa au mnalazimishwaaa
Mmh...ushaambiwa kichwa kina kona kama kitonga bado ninyoe
Wanawake wengi siku izi ni mwendo wa weaving bandika bandua...ata nywele original hatujui zinafananaje...give your hairs a break kidogo khaa
weekend hii nilikua na mpango wa kuweka weaving
hii thread mbona inanipa sababu ya kughairi sasa