Wadada msipende kulamba koni, hamtoolewa kamwe

Wadada msipende kulamba koni, hamtoolewa kamwe

Kiukweli wanaume imefika mahala tumewachoka, mahitaji yenu na malalamiko yamekuwa mengi sana aiseeeh'..!
Bora sisi imeshajulikana pesa, pesa, pesa na machine, ninyi hivi mnataka nini sasa wajameni.??

🤔
 
Jamani dada zetu eeh leo ngoja tuwaambie, kwanza kuolewa ni heshima sana na ukimuona mtu anakuoa kwanza kakueshimu sana kama mlikuwa hamjui.

Sasa basi sisi wanaume tunamuogopa sana mwanamke anaependa kutupia uume kinywani, yaani umepigwa pipe mbili tatu mara unaushika mkuyenge unautupia kwenye kinywa ama kwa lugha rahisi unaunyonya.

Wengi mwanamke wa aina hii kamwe hatuwezi kumfanya kuwa mke. Kwanza tunajiuliza kama huyu anainyonya hii koni kiasi hiki hivi atakuwa amezinyonya ngapi? Wapi atakuwa amejifunza? Tunahitimisha kwa kukuona wewe hufai kuheshiniwa na kufanywa mke.

Hivyo basi dada zetu acheni kujifanya eti mna maujuzi kumridhisha mtu, hapana huwa unaonekana whore tu hufai kuwekwa ndani hivyo basi mtakuwa mtaishia kucheza kwaito kwenye harusi za wenzenu.
Ata huyo mke wako ambaye ulimwoa kwasababu hajawahi kukunyonya kaa ukijua analamba koni za masela kama hana akili nzuri, we endelea na uboya wako.
 
Kwa hiyo unatuambiaje sisi wanaume ambao tumeshazoea kupewa hiyo huduma? Tukishaoa tunapaswa kuchepuka ili ttukaitafute huko nje au tuisahau?
 
Kuna demu moja msabato nilimpata miezi 2 iliyokwisha siku ya 1 tu nikaona anashika umme anataka kuweka mdomoni.
Asee nilimwambia hapana,nilimusha heshima yake pale pale,yani wanawake siku hizi wameoza.
Yaan kunyonywa uume ndio umshushie heshima yake?,basi haujui mambo mazuri....,mm dem wangu mtarajiwa nataka nimpige chini sababu kwenye hio sekta naona hayupo fresh,nahisi nisipoipata hii huduma vizur inaweza ikawa sababu ya mm kuchepuka
 
Jamani dada zetu eeh leo ngoja tuwaambie, kwanza kuolewa ni heshima sana na ukimuona mtu anakuoa kwanza kakueshimu sana kama mlikuwa hamjui.
Hili bango lango ungewaambia unaotaka kuwaoa.
 
Kiukweli wanaume imefika mahala tumewachoka, mahitaji yenu na malalamiko yamekuwa mengi sana aiseeeh'..!
Bora sisi imeshajulikana pesa, pesa, pesa na machine, ninyi hivi mnataka nini sasa wajameni.??
Mtoa mada ni boya tu.....ukinilamba koni mi nakuoa mke wa tatu
 
Usichopenda wewe kuna mwenzio anakipenda, tukubali tu kuwa choice zetu haziwezi kufanana mkuu. Kama ya mume wangu ile kofia ya kichwa chake kilivyokaa na kubinjuka vile huna cha kunambia niache kuimba nayo aisee.
Aisee
 
Back
Top Bottom