Wadada mnasemaje kuhusu hili?

Wadada mnasemaje kuhusu hili?

Mikeyy

Senior Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
106
Reaction score
35
Mara nyingi napokua nacheza mziki hasa na dem wakati anapokata mauno mbele yangu(grinding) huwa nasimamisha wazungu wanaita getting a boner. Je ni vibaya or ni udhaifu? je wadada mnachukuliaje unapogundua unaecheza nae kasimamisha?
 
Mara nyingi napokua nacheza mziki hasa na mdichans wakati anapokata mauno mbele yangu(grinding) huwa nasimamisha wazungu wanaita getting a boner.

Je ni vibaya or ni udhaifu? Je wadada mnachukuliaje unapogundua unaecheza nae kasimamisha?
 
Last edited by a moderator:
Asee kumbe ndo maana hua tunabambiwa kwenye daladala
 
Mkwepu jr kweli bora shule zifunguliwe aisee hizi mada zitapungua humu
 
Upo kama mimi mkuu mtoa mada...Huwaga nasimamishaga kweli nikiwa nacheza na demu tena ukute demu anajua kukata mauno uwiiiii.
 
Mara nyingi napokua nacheza mziki hasa na mdichans wakati anapokata mauno mbele yangu(grinding) huwa nasimamisha wazungu wanaita getting a boner.

Je ni vibaya or ni udhaifu? Je wadada mnachukuliaje unapogundua unaecheza nae kasimamisha?
Vp km home kuna kasherehe furani hivi, na kamziki ka ukweli kanagongwa hapo, family nzima, ndugu, jamaa na marafiki wanaruka majoka, halafu kwa bahati..........dadako ndo yuko mbele yako anakatika vipi inakutokea pia hiyo hari?
 
Back
Top Bottom