Wadada mnaolea ''viben10'' ni nani aliyewaroga?

Mwanaume ndio kichwa cha nyumba, wewe unamgeuza mwanaume kuwa pet wako, kama paka au mbwa.

Eti unajitolea kumtunza, kumlisha na kumvisha, hivi wewe dada ni nani hadi unaenda kinyume na agizo la Mungu? Mwanaume aliumbiwa kula kwa jasho, sio kuletewa na mwanamke.

Mwanaume anatakiwa awe na hekima, busara na nguvu, hivyo viben ten havina akili hata moja vinafikiria kunyonya mbunye tu na kupiga gemu, havijui hata bei ya tofali, kamwe hamuwezi kuendelea kwa kugegedana.

Halafu huto tuvulana mnatudhibiti na malimbwata, mama wee, Mungu anawaoneni mnavyowafanyia watoto wa wenzenu na kuwageuza sex slaves.

Endeleeni tu ila yana mwisho
Mbona Mzigua90 analea kiBen10 na hana tatizo lolote
 
Mwanaume ndio kichwa cha nyumba, wewe unamgeuza mwanaume kuwa pet wako, kama paka au mbwa.

Eti unajitolea kumtunza, kumlisha na kumvisha, hivi wewe dada ni nani hadi unaenda kinyume na agizo la Mungu? Mwanaume aliumbiwa kula kwa jasho, sio kuletewa na mwanamke.

Mwanaume anatakiwa awe na hekima, busara na nguvu, hivyo viben ten havina akili hata moja vinafikiria kunyonya mbunye tu na kupiga gemu, havijui hata bei ya tofali, kamwe hamuwezi kuendelea kwa kugegedana.

Halafu huto tuvulana mnatudhibiti na malimbwata, mama wee, Mungu anawaoneni mnavyowafanyia watoto wa wenzenu na kuwageuza sex slaves.

Endeleeni tu ila yana mwisho
Mbona Mzigua90 analea kiBen10 na hana tatizo lolote
kazi wanayo mashugamami
my!!!!
 
Back
Top Bottom