Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,111
- 158,972
Auntie hata kunitumia bando mwenzio!! Miss you mingi mingi.Auntie
Sio kwa kufichwa hukooo... Nilikumiss saaana
Auntie hata kunitumia bando mwenzio!! Miss you mingi mingi.Auntie
Sio kwa kufichwa hukooo... Nilikumiss saaana
Dunia simama nishuke!kwan kazi wanayofanya hawatoki jasho? ndo jasho lenyewe...
Wewe hukunimiss eeh?
mama shikamoo..., hivi unatafuta nn kwenye nyuzi kama hiziDunia simama nishuke!
Mbona Mzigua90 analea kiBen10 na hana tatizo loloteMwanaume ndio kichwa cha nyumba, wewe unamgeuza mwanaume kuwa pet wako, kama paka au mbwa.
Eti unajitolea kumtunza, kumlisha na kumvisha, hivi wewe dada ni nani hadi unaenda kinyume na agizo la Mungu? Mwanaume aliumbiwa kula kwa jasho, sio kuletewa na mwanamke.
Mwanaume anatakiwa awe na hekima, busara na nguvu, hivyo viben ten havina akili hata moja vinafikiria kunyonya mbunye tu na kupiga gemu, havijui hata bei ya tofali, kamwe hamuwezi kuendelea kwa kugegedana.
Halafu huto tuvulana mnatudhibiti na malimbwata, mama wee, Mungu anawaoneni mnavyowafanyia watoto wa wenzenu na kuwageuza sex slaves.
Endeleeni tu ila yana mwisho
Nakuona tu mwanangu unavyotoka jasho.mama shikamoo..., hivi unatafuta nn kwenye nyuzi kama hizi
Mbona Mzigua90 analea kiBen10 na hana tatizo loloteMwanaume ndio kichwa cha nyumba, wewe unamgeuza mwanaume kuwa pet wako, kama paka au mbwa.
Eti unajitolea kumtunza, kumlisha na kumvisha, hivi wewe dada ni nani hadi unaenda kinyume na agizo la Mungu? Mwanaume aliumbiwa kula kwa jasho, sio kuletewa na mwanamke.
Mwanaume anatakiwa awe na hekima, busara na nguvu, hivyo viben ten havina akili hata moja vinafikiria kunyonya mbunye tu na kupiga gemu, havijui hata bei ya tofali, kamwe hamuwezi kuendelea kwa kugegedana.
Halafu huto tuvulana mnatudhibiti na malimbwata, mama wee, Mungu anawaoneni mnavyowafanyia watoto wa wenzenu na kuwageuza sex slaves.
Endeleeni tu ila yana mwisho
my!!!!kazi wanayo mashugamami
si jasho tuuuu? au kuna jasho na jashoNakuona tu mwanangu unavyotoka jasho.
Abeeh
Ooh.ule uzi ulifutwaAgata mambo ebu tuendelee jamani tulipoishia ile juzi
Haya mateka wangu niambie.Haa haa na yenyewe co kunifuga
tu umeniteka kabsa
Ila Haki yang ndo spat Kwa wakat
Cjui kwann
Naomba gameHaya mateka wangu niambie.
Shikamoo!Abeeh
Wewe itabidi nikubrock...Naomba game
Jamani...Auntie hata kunitumia bando mwenzio!! Miss you mingi mingi.
Mmh jamani nani alikuteka hiviShikamoo!
Ulifutwa maa ni mnyakyusa eenh tunaendeleaOoh.ule uzi ulifutwa
Na riyama ila kweli na yule dada kwa vibe10 hajamboUmemsahau na Riyama..
Mambo bambam Shoga yako: cc Mzigua90Abeeh