Wadada mnaolea ''viben10'' ni nani aliyewaroga?

Hii tabia ni roho kamili itendayo kazi!
Tena wimbi hili limeshika kasi ajabu!
Yani Ni kichefuchefu mpaka basi!
 
nyie wanaume wa jf ebu tupumzisheni kidogo khaaaa kila afanyalo mwanamke ni shida kwenu! mmesema tusizalie nyumbani tumewaskiliza. wengine umri umeenda hizo ndoa hatujajaaliwa ili tupate watoto wa ndoani na tuna hamu ya kulea sa si bora tusaidie wanawake wenzetu kulea watoto wao. kulea ben 10 ni sawa na kuadopt mtoto
 
Back
Top Bottom