Wadada makwapa hayo

Wadada makwapa hayo

Bora wewe bi mkubwa umeelewa...halafu hebu jaribu kutafuta na kioo cha kujitazamia huko kama mnavyotembea na vile vyenye pouda vya kujitazama risepsheni zenu...


sawa kaka nashukuru
 
Duuuuh! hii ndio naisikia leo, sasa kama ni hivyo kwa nini mnang,ang,ania karolaiti?

mie akuuu....... Situmii...... Sijawahi kutumia...... Na sitarajii kutumia.... Naipenda ngozi yangu na naipenda rangi yangu!!!!!!!
 
Wanaume wa aina hiyo hawapo????unapoongelea swala la usafi jaribu kuBalance mambo na sio kuwa bias sawa eeeehhhh????

Bora aliyekomaa kwa wembe.....wapo wanaume wakivaa vest zao fulu kichaka tena cha njano waweza sema mvii si mvii rangi ya shabaaa lol!!!!!

Wapo lakini leo zamu yenu.... Unakuta mdada anatembea barabarani utafikiri kwapani kaweka kipande cha barafu kinachoyeyuka taratibu..
 
Una jifananisha wewe mwanamke na wanaume? haujui kua nyie ni mapambo ya dunia? usitake kujustify uchafu wenu eti kisa wanaume na wao wako hivyo mnatia aibu nyie watu jirekebisheni.
ndio nyie nyie boxer unavaa miezi hapo kiunoni usafi ni kila mtu sio kujustify hata kidogo usafi i kila mtu na sio jinsia .
 
ndio nyie nyie boxer unavaa miezi hapo kiunoni usafi ni kila mtu sio kujustify hata kidogo usafi i kila mtu na sio jinsia .

Nyie wadada ndo mko machoni mwa wanaume mnatakiwa kuwa zaidi ya wasafi.
 
Hehehhe,duuh hamna thread ilonchekesha km hii,wanaume mmefunguka bwn
so tru,mi binti lakn jmn nimsapoti mtoa mada,wadada wavaa vesti wengi majanga plus
tips kdogo nigawe kuimprove situation:km kwapa jeusi sana paka diproson litatakata,oga vzur,usipende kurudia nguo,sugulia kpande cha limao b4 kuoga atlst once o twice a week inakata harufu kabisa ht ucpotumia deodorant o perfume,na mwsho waxing,hzo hela tafuta tu mana knadada ndo wapga vbomu,waxing is better thn shaving,ngozi inabak km ya mtoto,kumbuka sura ya kwapa ina'reflect sura ya K,#mwanamke usafi kwanzaa
 
Hehehhe,duuh hamna thread ilonchekesha km hii,wanaume mmefunguka bwn
so tru,mi binti lakn jmn nimsapoti mtoa mada,wadada wavaa vesti wengi majanga plus
tips kdogo nigawe kuimprove situation:km kwapa jeusi sana paka diproson litatakata,oga vzur,usipende kurudia nguo,sugulia kpande cha limao b4 kuoga atlst once o twice a week inakata harufu kabisa ht ucpotumia deodorant o perfume,na mwsho waxing,hzo hela tafuta tu mana knadada ndo wapga vbomu,waxing is better thn shaving,ngozi inabak km ya mtoto,kumbuka sura ya kwapa ina'reflect sura ya K,#mwanamke usafi kwanzaa

Naunga mkono hoja limao inasaidia sana si kuondoa harufu hata weusi kwenye kwapa unaisha
 
Bora wewe bi mkubwa umeelewa...halafu hebu jaribu kutafuta na kioo cha kujitazamia huko kama mnavyotembea na vile vyenye pouda vya kujitazama risepsheni zenu...

Una maneno makali hadi nimekuogopa duh
 
Matumizi ya touch phone yazingatiwe makosa kibao ya uandishi
 
Unakuta mdada kavaa kitop halafu kwapa nje,inarusha stimu kwapa yenyewe imekomaa kwa kukwanguliwa kwa wembe kwapa nyeusiii....inaboa sana wengine tuna let muonekano wa kwapa na papuchi zenu.

Binti kwapa mda wote imeloa jasho inatema mbaya tena imeotea utoko utoko daaah hata mzuka wa kupiga mzigo unapotea hebu kuweni wasafi na muwe mnazifichaga hizo kwapa.wenyewe mnaona usasa na hizo top zen kuacha mikwapa wazi mnakera sana.

usafi muhim kwa wote bhana afu muda mwingne unakuta m2 anakaa dar na mwili wake unashndwa kuzoea mazngra xo lazma jasho litoke sio swala la uchafu, wanaume nao ndo noma thana maana unakuta m2 kafuga kama rasta au nyie kwenu fashion?
 
Back
Top Bottom