Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,300
- 108,331
Kaka hapo mzigo ndio hauliki tena...yaani utapiga chafya hadi lile kamasi la mwisho likutoke....phweeee!!!
Sure mkuu halafu wanajifanya masister duuh kumbe hawana lolote wachafu kuliko,halafu ukute pafyume yke imechanganyika na jasho hiyo smell sasa unaweza usile mzigo miezi 6.