Wadada, jifunzeni kuwa wasiri

Wadada, jifunzeni kuwa wasiri

Kuna mtu haamini kama anaweza kuingia Ramada Resort, akala na akalala bila kucheck in fb. Halafu huu ugonjwa umewapata hadi wanaume, inasikitisha sana.
Exactly.
kumbe wengine tatizo ni la social media. Basi ifike point mtu Ujue hasara ya vitu unavyopost.
 
Jamani Kuna wanaojinunulia zawadi??

And yes, kuna tofauti kati ya kupeana ujuzi na kuanza kusimuliana ya private.



Saluni..... Wanawake watu wazima hizo story sasa!

Sikujua Kuna hadi magroup ya watu umri huo LOL .......labda rahatupu ya Nancy....nishawahi ona wababa mule.

Watu watokwe na ushamba wa media jamani.



Nilisahau version ya wanaume.

Kweli labda watatuona washamba. Au labda ndo itakuwa norm!!! Manake siku hizi picha za couple wamelala kitandani ni nyingi.

Me shida yangu ni kutukanwa tu kwa hawa wadada.
Inasikitisha kwakweli....mambo yamekua out of control....
 
We huoni wao wakizidisha tuu mizigo ndo huwa wanakuwa na matiti ka ndala.....maeneo yao pia yanakuwa mapana ka ndoo.....so upumbavu wao pamoja na ulafi wao ndo unaowaponza!!!!
weh!

Maziwa yataanguka tu hata awe bikra for life. Na tendo halisababishi maziwa kuanguka.

Kutanuka kwa K kunarekebishika kwa mazoezi ya Kegels. Dr. @brenda18 talk to this man
 
Jamani Kuna wanaojinunulia zawadi??

And yes, kuna tofauti kati ya kupeana ujuzi na kuanza kusimuliana.

Eeeh usiombe kukutana na immature person au mtu anayependa drama/Ulimbukeni. Watu wanajinunulia vitu kibao Afu busy "beau kaninunulia ", mtajuaje kama anapendwa + baby wake yupo loaded. Ni sawa tu na mtu anaenda sehemu nzuri kula bata on her own but atakwambia "baby alinipeleka kule....". Honestly sielewagi huwa wanataka kuprove nini. Ni maisha yao lakini, ingawa tunawaombea wa-mature basi angalau matendo yao yasadifu umri wao.

Ujuzi kupeana muhimu bana lol
 
weh!

Maziwa yataanguka tu hata awe bikra for life. Na tendo halisababishi maziwa kuanguka.

Kutanuka kwa K kunarekebishika kwa mazoezi ya Kegels. Dr. @brenda18 talk to this man
Hivi wapo watu ambao wamepata positive results kwa kufanya mazoezi ya kegel, ila ni issue private sana kwa wadau kutoa ushuhuda...ila nahisi kwamba kama mtu ana partners wengi kegel haiwezi kuwa na positive results
 
Tutaambiwa tunaona wivu.... Lakini me sijali.... Kuonyesha uonyeshe mwenyewe, kuachana muachane wenyewe, baadae watu wakikuangalia vibaya u Deal nayo mwenyewe
Ujue nini, sio kitu kibaya kuwatambulisha watu kuwa this is my man. Tatizo yale matashtiti yasiyo na kichwa na miguu. Hatupumui ni my baby this, my baby that, my baby is so sweet eishhhhh. Story zote ni baby wake tu, yani inabidi wengine mnyamaze tu. Siku wakiachana unajikuta tu Unacheka. Maana kwa jinsi wanavyoishi kwa drama kukaa kimya hawezi, utaanza tu kuona captions " single and happy", in love with myself, best fuc*n relationship ever" pyeee
 
Eeeh usiombe kukutana na immature person au mtu anayependa drama/Ulimbukeni. Watu wanajinunulia vitu kibao Afu busy "beau kaninunulia ", mtajuaje kama anapendwa + baby wake yupo loaded. Ni sawa tu na mtu anaenda sehemu nzuri kula bata on her own but atakwambia "baby alinipeleka kule....". Honestly sielewagi huwa wanataka kuprove nini. Ni maisha yao lakini, ingawa tunawaombea wa-mature basi angalau matendo yao yasadifu umri wao.

Ujuzi kupeana muhimu bana lol
Eeeh usiombe kukutana na immature person au mtu anayependa drama/Ulimbukeni. Watu wanajinunulia vitu kibao Afu busy "beau kaninunulia ", mtajuaje kama anapendwa + baby wake yupo loaded. Ni sawa tu na mtu anaenda sehemu nzuri kula bata on her own but atakwambia "baby alinipeleka kule....". Honestly sielewagi huwa wanataka kuprove nini. Ni maisha yao lakini, ingawa tunawaombea wa-mature basi angalau matendo yao yasadifu umri wao.

Ujuzi kupeana muhimu bana lol
LOL

Labda wanahisi watakubalika zaidi/watafit in zaidi na wao wakionwa wana mtu? Maybe wana insecurities?
Pole zao

Sawa utupe ujuzi lakini ukianza kusema ni fulani ukatutumia na picha mko kitandani (naona nyingi hizi sikuhizi) usije kutuletea matarumbeta ukikuta na sisi tumeenda kuonjamo
 
Hivi wapo watu ambao wamepata positive results kwa kufanya mazoezi ya kegel, ila ni issue private sana kwa wadau kutoa ushuhuda...ila nahisi kwamba kama mtu ana partners wengi kegel haiwezi kuwa na positive results
Tumuulize Dr. @brenda18... Me sihitaji hizo kwa sasa. Haha.
 
LOL

Labda wanahisi watakubalika zaidi/watafit in zaidi na wao wakionwa wana mtu? Maybe wana insecurities?
Pole zao

Sawa utupe ujuzi lakini ukianza kusema ni fulani ukatutumia na picha mko kitandani (naona nyingi hizi sikuhizi) usije kutuletea matarumbeta ukikuta na sisi tumeenda kuonjamo
Ahhahaha khaa sipati nega unaanzaje kutuma na picha za kitandani jamani. kwelo tunatofautina jamani, sijui wengine na huu uzee. Watu wana guts mwee,

Insecurities umegonga penyewe. Mtu insecure muda wote anataka kuprove kitu kwa watu. Huruma mnoo
 
Ujue nini, sio kitu kibaya kuwatambulisha watu kuwa this is my man. Tatizo yale matashtiti yasiyo na kichwa na miguu. Hatupumui ni my baby this, my baby that, my baby is so sweet eishhhhh. Story zote ni baby wake tu, yani inabidi wengine mnyamaze tu. Siku wakiachana unajikuta tu Unacheka. Maana kwa jinsi wanavyoishi kwa drama kukaa kimya hawezi, utaanza tu kuona captions " single and happy", in love with myself, best fuc*n relationship ever" pyeee


Teh Teh nimecheka sana daaa huwa naona sana status za hivi ...bahati mbaya wanawake huwa ni wachukua ushauri na kuuacha hapo hapo!
 
Ujue nini, sio kitu kibaya kuwatambulisha watu kuwa this is my man. Tatizo yale matashtiti yasiyo na kichwa na miguu. Hatupumui ni my baby this, my baby that, my baby is so sweet eishhhhh. Story zote ni baby wake tu, yani inabidi wengine mnyamaze tu. Siku wakiachana unajikuta tu Unacheka. Maana kwa jinsi wanavyoishi kwa drama kukaa kimya hawezi, utaanza tu kuona captions " single and happy", in love with myself, best fuc*n relationship ever" pyeee
Haha...
There is always that annoying couple in every group of friends.. Kuwaambia watu kuhusu Mapenzi yako all the time inaboa.
.na kwa wanao post, wa post tu mimi Nitalike. Nawaonea huruma tu reputation wanayojitengenezea. Manake jana nimekaa kumtetea dada wa watu utafkiri ananijua. Kuna kaka kaishia kutukana wanawake wote kisa huyo dada, sijui na yeye alipitimo?? Jamii yetu haijazoea uhuru wa wanawake, I guese wadada wa hivi ndo kafara kutupeleka kwenye uhuru.

Of course na mtu kujichoresha kwa watu kwa statuses. Kama haikusumbui wewe tu entertain tu.
 
Tumuulize Dr. @brenda18... Me sihitaji hizo kwa sasa. Haha.
Hahaahha ni mazoezi yakawaida tu, na ni mazuri kwa afya tu hata kwa wannaume ...eti mkuu brenda 18?! ...nadhani kama sikosei ni kubana pee kwa stages mpaka pee iishe...au hata kufanya bila pee
 
Last edited:
Back
Top Bottom