Wadada JF Mnaziona Design za KUCHA Hizi??

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,374
2742777307_41fb8ace9f.jpg

zebra nail designs / zebra nail art designs
2737548505_fb460f4d80.jpg

summer nail designs
344117470_f372b823db.jpg

strawberry cute nail design

nail_art_82008292-img600x450-118900.jpg
 
Halafu uvikute vidole vyenyewe vimeshika glass ya wine hapo inanoga!!
 
Hao wote inaelekea huwa hawashiki maji wala hawafanyi kazi yoyote ya ndani, but they looks good!
 
Hivi hiyo mikono inaweza kushika jembe? Maana..when chips are down..we might need to go back kulima...sasa hivyo vidole..duh..pagumu hapo...
 
Gharama ya kutengeza hizo kucha ni tsh elfu 30 hadi 60.
mda wa kukaa saloon ni masaa 3. unakaanazo zaidi ya miezi 2
na unafanya kazi zote
 
Back
Top Bottom